Nguvu ya soda hiyo tushaizoea. Hata mkwere alianzaga na mikwara na hadi nasokoni kote.
Tulishaambiwa kuwa CCM ni ileile...hakuna jipya???
kashasahau ile "ari mpya+nguvu mpya+kasi mpya"
Nguvu ya soda hiyo tushaizoea. Hata mkwere alianzaga na mikwara na hadi nasokoni kote.
Tulishaambiwa kuwa CCM ni ileile...hakuna jipya???
kumbe hii nchi inaweza endeshwa namtu mmoja tu.
Khaa!! Mbona unapanic kiongozi? Tulia taratibu yataisha haya. Hili ndiy.o tingatinga bana
Ishu ni kuwakagua wafanyakazi kama wapo eneo la tukio, nasi tunahitaji aboreshe hali za mahospitali hilo halina upinzani.Khaa!! Mbona unapanic kiongozi? Tulia taratibu yataisha haya. Hili ndiy.o tingatinga bana
ni swala la mda tu,siku si nyingi mtaanza kumkejeli kwa chuki magufuli.na yote itakuwa ni kwasababu ya dini yake.haka kapost kangu katabaki hapa kama reference kwa yatakayo tokea baadae.:hand::hand:Ngoja Lowassa akiwa Rais ataanzia huko.
Katoa hati ya kuita bunge na anatengeneza baraza lake la mawaziri.si kila kazi afanyazo rais wetu uambiwe wewe nyumbumasaa 24 yashapita toka awe rais
kashafanya nini la maana????
aache publicity stunts afanye kazi.
Alishasema serikali yake haina pale!!! Usijaribu hapa unaishia hapo hapo hakuna kupelekwa pale na nafasi yako anakaa kijana mwingine maisha yanasonga.
Sasa hao wazembe biashara yao imeishia hapo wakatafute kazi nyingine.
Hakuna raisi aliyeaminiwa na wa Tanzania kama kikwete alianza hivyo hivyo kama magufuli lakini matokeo yake akazalisha mafisadi na wapiga dealHii ni salam kwa wazembe wavivu na watoro kazini. Tusije tukalaumiana.
Huu utawala sio ule mliouzoea. Ukichelewa kazini tunachukua kiti chako unachokalia ofisini. Hatutajali urefu wa mapembe yako. Tutayakata tu.
Wahi kazini tumikia taifa. Ona aibu na uchungu kupokea mshahara bila kuutumikia.
Hii ndio sera ya utawala wa awamu ya tano
Hakuna raisi aliyeaminiwa na wa Tanzania kama kikwete alianza hivyo hivyo kama magufuli lakini matokeo yake akazalisha mafisadi na wapiga deal