Anatafuta kiki tuu.Machozi yakwapi..!!??
Kwani wewe unatokea "vigwazwa"?kumbe mugabe katangwazwa kuwa baba wa taifa wa zimbabwe
kumbe mugabe katangwazwa kuwa baba wa taifa wa zimbabwe(sina habari) au kila rais wa kwanza ni baba wa taifa husika.
Rais wa Zimbwabwe Emmerson Mnangagwa (crocodile) kamuita hivyo pia.kumbe mugabe katangwazwa kuwa baba wa taifa wa zimbabwe(sina habari) au kila rais wa kwanza ni baba wa taifa husika.
Vipi kwenye kilio chake hakuna neno "Catalyst"???
Nimeikuta BBC news. Mugabe left his people with land and resources while Mandela left his people with quotes and poems
Vipi kwenye kilio chake hakuna neno "Catalyst"???
Waliompindua ndio wanamtambua hivyo sisi nani kuhoji?... hivi Mugabe alikuwa rais mstaafu au aliyepinduliwa kwa uking'ang'anizi wa madaraka? Leo tunaweza kusema Jenerali Al-Bashir kule Sudan ni rais mstaafu? Au wale madikteta wa Kaskazini mwa Afrika waliong'olewa kwa maandamano nao ni marais wastaafu?
Kimsingi mstaafu ni aliyekubali kuachia madaraka ama kwa hiari au kwa mujibu wa sheria. Mtu ameondolewa madarakani kwa vifaru kastaafu vipi?