LNGHajaomba chochote?
Daah watu mna vituko.Hajaomba chochote?
Mtakazania kumzodoa mwishoni mtaona mwaka 2020 imefika na jamaa kala vichwa.Lazima mkopo umeombwa hapo
Kaiba vichwaMtakazania kumzodoa mwishoni mtaona mwaka 2020 imefika na jamaa kala vichwa.
ccm mkoa wa dar wameandaa maandamano SAA tatu asubuhi kuanzia Mnazi Mmoja mpaka Lumumba ya kumpongeza raisi kwa kukutana na balozi wa NorwayRais Dkt. John Pombe Magufuli akutana na Mhe. Borge Brende ,Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway na ujumbe wake Ikulu Dar es Salaam
Norway ni miongoni mwa nchi rafiki kwa Tanzania mwaka 2008 aliyekuwa Waziri Mkuu wa. Norway Jens Stoltenberg alizuru Tanzania na kuipa serikali msaada wa dola Milioni 100 kwa ajili ya misitu.Rais Dkt. John Pombe Magufuli akutana na Mhe. Borge Brende ,Waziri wa Mambo ya Nje wa Norway na ujumbe wake Ikulu Dar es Salaam
Umenikumbusha msemo wa konda kwa derevaMtakazania kumzodoa mwishoni mtaona mwaka 2020 imefika na jamaa kala vichwa.
Hakuna kura inayobiwa japo siipendi CCM ila inagawiwa na Upinzani kwa kuendelea kuwakumbatia matakataka ya CCM na mwaka 2020 CCM watatumia style walioitumia mwaka 2015 na kumtema mtu mhimu wao na kuwaletea upinzani. wamefanya hivyo kila miaka.Kaiba vichwa