Kyindokyakombe
Member
- May 1, 2012
- 95
- 96
MNYIKA jua hilo sisi wananchi tunamacho na tunaona yote yanayofanywa na SERIKALI ya JK ni AIBU tupu shida sisi wananchi hatuwawajibishi ndo maana wanafanya wanavyotaka so tuamke.RAIS gani anayesamehe WEZI NA KUWAPA muda warudishe walichokiiba.Kule MALI walimpiga RAIS IKULU HUKU NAKO inakuja.