Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,692
Tumeona jinsi wana JF walivyo na upeo wa juu wa kuweza kuchambua mambo mabilimabli na hata viongozi.
Sasa kuna changamoto napenda kutoa kwa JF, na ningependa kwa hili tusikurupuke tu bali tutumie hekima na busara za hali ya juu kuchagua Mtanzania ambaye wewe mwana JF ungependa awe Rais wa Tanzania. Ni vema utaje jina na kisha kutoa sababu za chaguo lako.
Pili fikiria kuwa Prime Minister lazima awe member wa JamboForums.
Je Ni nani ungemchagua Rais? Kwa nini? Na ni nani PM kutoka JF na kwa nini?
Kazi kwenu.
Sasa kuna changamoto napenda kutoa kwa JF, na ningependa kwa hili tusikurupuke tu bali tutumie hekima na busara za hali ya juu kuchagua Mtanzania ambaye wewe mwana JF ungependa awe Rais wa Tanzania. Ni vema utaje jina na kisha kutoa sababu za chaguo lako.
Pili fikiria kuwa Prime Minister lazima awe member wa JamboForums.
Je Ni nani ungemchagua Rais? Kwa nini? Na ni nani PM kutoka JF na kwa nini?
Kazi kwenu.