DENG XIAOPING
JF-Expert Member
- Mar 6, 2022
- 2,398
- 2,593
Xi Jinping walicho fanya wachina ni kumuongezea Xi Jinping mihula ya kutawala maana katiba ya China inasema Rais kutawala Mwisho mihula miwili ya miaka mitano ya kwanza na mitano ya pili Ila Xi Jinping watakuwa wanamuongezea mihula na sio kutawala mpaka kufa iyo kitu haipo na mwaka huu ndio wanamuongezea muhula wa tatu subiri china political session 2022 ianze ndio utaelewaTerm limit iliondolewa tangu mwaka 2018, na Xi akaongezewa nguvu kama za Mao, na ujue tu nguvu ya Xi ni kubwa kuliko nguvu aliyokuwa nayo Hu jintao baada ya mabadiliko ya 2018.View attachment 2204804View attachment 2204805View attachment 2204807
Sent using Jamii Forums mobile app