Rais Banda na Kitendawili cha Familia!

PakaJimmy

JF-Expert Member
Apr 29, 2009
16,203
8,723
KAMUZU%20BANDA,%20Ngwazi%20Hastings,%20Dr.-002

Hastings Kamuzu Banda Ngwazi, former President of Malawi.

Huyu ndiye Kamuzu Banda Ngwazi (president Wa Muyaya) aliyekuwa Rais wa Malawi, ambaye, pamoja na mafanikio yake makubwa ya kielimu ya udaktari, historia ya familia yake binafsi(mke na watoto) haijakaa sawa hadi alipofariki, 25/11/1997, akiwa na umri wa miaka 99!

Kuna habari zinasema kwamba huyu ndugu alilazimika kuhasiwa(castration) kwa sababu alikuwa ndiye daktari pekee wa Malkia wa Uingereza, naye akakubali kutendewa hivyo kwaajili ya heshima na malipo! ...huh!

Historia ya familia ya Banda inawataja WAJUKUU wake wawili, ambapo mmoja alisomea sheria huko Marekani na anaishi huko, na mmoja yupo Afrika Kusini hadi leo. Hawa ndio waliorithi mali zote za Kamuzu Banda, zilizofikia Dola za Marekani 320 milioni!

Lakini hadi leo haijajulikana kwa uwazi ni nani alikuwa MKEWE rais huyu, wala WATOTO wake!...mhhh..inafurahisha!
 
KAMUZU%20BANDA,%20Ngwazi%20Hastings,%20Dr.-002

Hastings Kamuzu Banda Ngwazi, former President of Malawi.

Huyu ndiye Kamuzu Banda Ngwazi (president Wa Muyaya) aliyekuwa Rais wa Malawi, ambaye, pamoja na mafanikio yake makubwa ya kielimu ya udaktari, historia ya familia yake binafsi(mke na watoto) haijakaa sawa hadi alipofariki, 25/11/1997, akiwa na umri wa miaka 99!

Kuna habari zinasema kwamba huyu ndugu alilazimika kuhasiwa(castration) kwa sababu alikuwa ndiye daktari pekee wa Malkia wa Uingereza, naye akakubali kutendewa hivyo kwaajili ya heshima na malipo! ...huh!

Historia ya familia ya Banda inawataja WAJUKUU wake wawili, ambapo mmoja alisomea sheria huko Marekani na anaishi huko, na mmoja yupo Afrika Kusini hadi leo. Hawa ndio waliorithi mali zote za Kamuzu Banda, zilizofikia Dola za Marekani 320 milioni!

Lakini hadi leo haijajulikana kwa uwazi ni nani alikuwa MKEWE rais huyu, wala WATOTO wake!...mhhh..inafurahisha!

Yu nowat? Theory yake ilikuwa bayana - wanawake wote wa malawi walikuwa ni wake zake na aliwatumia wakati wowote alipotaka kuwatumia, sio kuwamega bal wamchezee ngoma: "Kamuzu moto! Kamuzu moto, Kamuzu motooooo!" Zikoma kwa mbili, zabwino, eeeeh!

Kama anaenda kwenye mkutano kokote yeye na wanawake wanenguaji wanapanda ndege, lakini wapiga ngoma wanaume wanapanda malori.

Ilikuwa ni sharti ahasiwe kwa kuwa alikuwa mweusi wa kwanza kuwa daktari wa Malkia, walikwepesha asije akamdunga malkia "sindano ya sumu" malkia akavimba tumbo la chini. Wazungu si unajua wanaamini kwamba ngozi nyeusi anajituma sana kumega? Weacha tu, huenda ingekuwa siku hizo pengine hata wewe na mimi tungefanya hivyo, ilikuwa heshima kubwa.

Lakini historia yake hata yeye mwenyewe ina utata, haijulikani kwa hakika kama kweli jamaa alikuwa mmalawi kwa asili yake au alikuwa mmarekani mweusi aliyejipachika jina la kimalawi, maana hata ukoo wake inadaiwa ulikuwa haujamkubali. Hata yeye mpaka anakufa hakukijua kijiji cha asili yake, akachagua kijiji kimoja ambako ndiko alijenga kasri lake, liko kando kidogo ya njia kuu kati ya Lilongwe na Mzuzu, nje kidogo ya kijiji kilichopanuka kiasi na kuwa mji mdogo.
 
Ngwazi Dr H.Kamuuzu Banda,president wa muyaya. Nazikumbuka baadhi ya hotuba zake.

Kwaacha................Kwachaa.
Kamuuzu................President wa muyaya.
Isetonse ................Waa
Hakuwahi kuhutubia kwa kichewa,kinyasa au chitumbuka,lakini alikuwa anakifahamu.Siku moja alikuwa mzuzu akasema ALL OF U CLAP YOUR HANDS,mkalimani akawaambia watu IKUTE MUKOME MANJA ( anasema mpige makofi),banda akamgeukia mkalimani akamwambia WHAT ABOUT U?
Inasemekana wanafamilia wake walimkataa kwa sababu the real Hastings hakuwa na kidole Gumba kilikatika akiwa mtoto sasa kwa yeye kujiita hivyo wapo waliopinga kwa sababu ya ukamilifu wa vidole vyake.
Alimfanya mama C.Tamanda Kadzamira kuwa official hostess au first lady yule mama alikuwa anaishi naye state house na ndiye aliyekuwa chairman wa CCAM Chitukuko Cha Amayi Mmalawi.
 
hakuna ukweli uliothibitika kwenye hizo mambo!.....
Nenda kwenye makabrasha kama Bujibuji, au la pitiapitia hapa[ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Hastings_Banda"]mahala[/ame]
 
mmh hata sielewi jamani

Somasoma hayo maoni ya wenzako ili upate kuelewa.
hii link ina maelezo mengi, ila nadhani imeandikwa na wafuasi wake wanaoyaka kuupotosha ukweli,
kuna mambo mengi yamefichwa.
bado ninapitia makabrasha.
[ame]http://en.wikipedia.org/wiki/Hastings_Banda[/ame]
 
Mimi kuna kitu kinanishangaza kuhusu Malawi... Ni nchi ambayo ni Landlocked lakini uchumi wao,hela yao ipo juu zaidi ya kwetu... Hivi sisi tumelaaniwa??? Aaaaah
 
Inaelekea hakuoa!

Early life
Kamuzu Banda was born near Kasungu in Malawi (then British Central Africa) to Mphonongo Banda and his wife Akupingamnyama Phiri. His date of birth is unknown, and as it took place at a time when there was no birth registration, it is impossible to state a precise year. (His biographer, Philip Short, gives February 1898 as the most likely date). His official birthday is stated as May 14, 1906 and this date is contained in some biographical guides. However, his death certificate states him to have been 99 years old and it was rumoured that he was actually 101. There is no proof the report of his age was accurate. He took the Christian name of Hastings after being baptised into the Church of Scotland in around 1905. Around 1915-16, he left home and went with Hanock Msokera Phiri, an "uncle" who had been a teacher at the nearby Livingstonia mission school, on foot to Hartley in Zimbabwe (then Southern Rhodesia) and then, in 1917 and again on foot, to Johannesburg in South Africa. He worked in various jobs at the Witwatersrand Deep Mine on the Transvaal Reef for several years. During this time, he met Bishop W. T. Vernon of the African Methodist Church (AME), who offered to pay his tuition at a Methodist school in America if he could make his own passage. In 1925, he left for New York.
Life abroad (1925–195

Banda studied in the high school section of Wilberforce Institute, a black AME college (now Central State University) in Wilberforce, Ohio, and graduated in 1928. With his financial support now ended, Banda earned some money on speaking engagements arranged by the Ghanaian educationalist, Kweyir Aggrey, whom he had met in South Africa. Speaking at a Kiwanis club meeting, he met one Dr Herald, with whose help he enrolled as a premedical student at Indiana University, where he lodged with Mrs W.N. Culmer. At Bloomington, he wrote several essays about his native Chewa tribe for the folklorist Stith Thompson, who introduced him to Edward Sapir, an anthropologist at the University of Chicago, to which, after four semesters, he transferred. During his period here, he collaborated with the anthropologist and linguist, Mark Hanna Watkins, acting as an informant on Chewa culture. In Chicago, he lodged with an African-American, Mrs Corinna Saunders. He majored in history, graduating with a B Phil in 1931. During this time, he enjoyed financial support from a Mrs. Smith, whose husband, Douglas Smith, had made fortunes in patent medicines and in Pepsodent toothpaste; and also from a member of the Eastman Kodak board. He then, still with financial support from these and other benefactors (including Dr. Walter B. Stephenson of the Delta Electric Company), studied medicine at Meharry Medical College in Tennessee, from which he graduated in 1937. In order to practice medicine in territories of the British Empire, however, he was apparently required to get a second medical degree; he attended and graduated from the School of Medicine of the Royal College of Physicians and Surgeons of the University of Edinburgh in 1941. His studies there were funded by stipends of 300 pounds per year from the government of Nyasaland (in order to facilitate his return there as a doctor) and from the Scottish Presbyterian Kirk; neither of these benefactors being aware of the other. (There are conflicting accounts of this, however. He may still have been funded by Mrs Smith). When he enrolled for courses in tropical diseases in Liverpool, the Nyasaland government terminated his stipend. He was forced to leave Liverpool when he refused on conscientious grounds to be conscripted as an Army doctor. Between 1942 and 1945 he worked as a doctor in North Shields near Newcastle on Tyne. He was a tennant of Mrs Amy Walton at this time in Alma Place in North Shields and sent a Christmas card to her every year right up to her death in the late 1960's. In 1948 he worked as a doctor in Renfrew. A resident, Bill Johnston remembers the time when, as a lad, Dr. Banda came to his home to see his father who had a nasty boil on the back of his neck. His father was a respected church elder in the town. Dr. Banda took a small bottle from his case, asked for some boiling water and poured some into the bottle. Emptying the water out, he quickly placed the open end on Bill’s father’s boil where of course it stuck as the steam condensed. With a cry of anguish his father leapt to his feet and chased the doctor round and round the kitchen table with the bottle fastened to his neck. Bill was dumbfounded at hearing his father use language that he had never heard before! Banda originally worked at a mission for coloured seamen before moving to a general practice in the London suburb of Harlesden. At this time he lodged in a hotel in Paddington run by Mrs Janet Evans. Reportedly, he avoided returning to Nyasaland for fear that his newfound financial resources would be consumed by his extended family back home.

In 1946, at the behest of Chief Mwase of Kasungu, whom he had met in England in 1939, and other politically active Malawians, he represented the Nyasaland African Congress at the fifth Pan African Congress in Manchester. From this time he took an increasingly active interest in his native land, advising the Congress and providing it some financial support. With help from sympathetic British, he also lobbied in London on their behalf. He was actively opposed to the efforts of Sir Roy Welensky, premier of Southern Rhodesia, to form a federation between Southern and Northern Rhodesia with Nyasaland, a move which he feared would result in further deprivation of rights for the Nyasaland blacks. The (as he famously called it) "stupid" Federation was formed in 1953. It was rumored with some excitement that he would return to Nyasaland in 1951, but in the event he moved instead to the Gold Coast in West Africa. He may have gone there partly because of a scandal involving his receptionist in Harlesden, a Mrs French: Banda was cited as correspondent in the divorce of Major French and accused of adultery with Mrs French, who went with him to West Africa. (Mrs. French died penniless in 1976). Several influential Congress leaders, including Henry Chipembere, Kanyama Chiume, Dunduzu Chisiza and T.D.T. Banda (no relation) pleaded with him to return to Nyasaland to take up leadership of their cause, and on 6 July 1958 he did eventually return home after an absence of about 42 years. In August, at Nkata Bay, he was acclaimed as the leader of the Congress.
 
Alikuwa na mtoto mmoja wa kusingiziwa!?

His stay in Scotland, gathering more degrees, accelerated his journey away from his original home. He was becoming eccentrically European. His shyness and reserve masked a puritanical streak, perhaps a legacy of his narrow Scottish education which was later to be so dominant. It made him intolerant of couples dancing together and he was appalled at the lax wartime morals and the ensuing secret abortions. But he was fastidious and diligent as a doctor and was renowned for acts of kindness towards his patients. In 1941 he set up his practice in a poor area of Liverpool, waiving fees for poor patients and even paying the rents of the poorest.

It is astonishing that a black man could attract such a large and varied medical practice at that time. From Liverpool he moved to Harlesden in north London. Again he attracted a large and devoted following, mostly white and middle- or lower middle-class. He was said to be particularly good with children. He was becoming very British, parted his hair and adopted a Homburg hat, furled umbrella and dark three-piece suit. He was welcomed into people's homes and gained an acceptance and integration which was remarkable. But it also strained his personality. He had always kept in touch with African politics and politicians but at this time Banda became increasingly peremptory and high-handed in his dealing with other Africans. Kwame Nkrumah, the doyen of the African leaders, he referred to as "my boy".

His secretary became pregnant with his child and her husband sued for divorce. He fled from Britain to Ghana, his secretary followed him but he rejected her and he never supported their child. He left Ghana under a cloud and there were reports that he had been running an abortion clinic.

http://www.independent.co.uk/news/obituaries/obituary-dr-hastings-banda-1296534.html
 
Alikuwa na mtoto mmoja wa kusingiziwa!?[/QUOTE]
Aksante sana SMU, naona umejaribu kuzama kwenye madokomenti na kuleta mengineyo kuhusu huyu jamaa!...

Lakini kimsingi ni kwamba familia ya huyu jamaa ni utata mtupu, haieleweki kabsaaaa!

Sielewi wananchi wake walikuwa wanamtrust vipi mtu MSELA!..huh!
 
PJ...kule Malawi bana Dr. Ngwazi Kamuzu Bana Prezidenti wa Muyaya alikuwa mume wa wanawake wote wa Malawi. Alikuwa akiwaita "Mbumba za Kamuzu" kwa chichewa au Kinyanja/Kinyasa ni "Wanawake wa Kamuzu"..Daktari (R.I.P) alikuwa na Mwanamke ambaye kila alikoenda alikuwa alikuwa sambamba nae. Huyu aitwa Cecilia Tamanda Kadzamira (Banda's official hostess), Wajuzi wa mambo kule Lilongwe, Nkata-bay Likoma, Mzuzu, Nkotakota, Mzimba, Mzuzu,and so to say Malawi yote na pembezoni mwa mipaka yake walimtambua huyu Bi. Kadzamira kama mzigo wa Mzee Kamuzu...na aliitwa "MAMA CECIL" kumaanisha mama wa Taifa la Malawi!.

Bi Kadzamira aliwahi pia kutuhumiwa mwaka 2000 kutokana na kutoonekana kwa Cheti cha Kifo cha Dr. Kamuzu na yeye ndie aliyekuwa karibu sana na kitanda cha Marehemu Banda Hospitali, Jo'burg (SA) mpka tarehe 25 Novemba 1997 pale mauti ilipomfika Banda:

BBC Reported this in Wednesday, 17 May, 2000
Mystery of the Banda millions

_523203_kadzamila150.jpg

Cecilia Kadzamira: No idea where the certificate is

Who is keeping the death certificate is itself a mystery and a hot subject for conspiracy theories.
Cecilia Tamanda Kadzamira, Dr Banda's life-long official hostess, who was at Mr Banda's death bed when the centenarian died on 25 November 1997 at a clinic in Johannesburg, South Africa, told BBC News Online she had no idea who was keeping the death certificate.

"I wish I knew who has it since no one can gain access to the records without the death certificate," she said.
Ms Kadzamira, fondly referred to as "Mama", or "Mother of the Nation", has a direct interest in the battle for the former president's estate since Dr Banda's relatives are accusing her in court of twisting the old man's arm to bequeath the best part of his estate to her. She denies the charge.

Ms Kadzamira, fondly referred to as "Mama", or "Mother of the Nation", has a direct interest in the battle for the former president's estate since Dr Banda's relatives are accusing her in court of twisting the old man's arm to bequeath the best part of his estate to her.

http://news.bbc.co.uk/1/hi/world/africa/752462.stm

NA KWA KUMPENDA SANA CECILIA HAKUTAKA WATU WAPIGE KELELE JUU YAKE:

"Cecilia" is a song by Simon and Garfunkel, from their 1970 album Bridge Over Troubled Water. When released as a single, it reached #4 in the US charts. The "Cecilia" of the title is an apparently capricious lover, causing both anguish and jubilation to the singer. It begins "Celia, you're breaking my heart/ You're shaking my confidence daily..." then ends with "Jubilation!/ She loves me again..."

The song was banned in Malawi because "Cecilia" (Cecilia Tamanda Kadzamira) was the name of the wife of president Hastings Banda.

Huu wimbo wa ilipigwa marufuku miaka ya 1980's na Mzee mwenyewe wakati uhusinao wake na BI. Kadzamira ulikuwa ukishamili kwa kasi.

http://www.spiritus-temporis.com/cecilia/

HIVI NDIVYO PIA MZEE ALIULINDA MZIGO WAKE KWA MUJIBU WA TAARIFA ZA WANAHARAKATI WA KUTETEA HAKI ZA BINADAMU KUHUSU UKATILI WA BANDA:

A case that summarizes the plight of Malawians under Banda occurred in 1985. Mama Cecilia Tamanda Kadzamira, the "Official Hostess", addressed a United Nations conference on women and development. In the course of her speech she said the words "Man cannot live with a
woman" – a banal sentiment that was duly reported by the official media (there were no other) and plastered over the next day's newspaper.


The problem was that by the next day Mama Kadzamira had decided that she did not say this. It therefore followed that she must have been misreported. The editor of the Daily Times and two journalists from the Malawi News Agency were thus detained without trial for a year for misrepresenting the Official Hostess's words, joined for several weeks by a presenter from the Malawi Broadcasting Corporation who had the temerity to protest.
http://www.article19.org/pdfs/publications/freedom-of-information-truth-commissions.pdf

 
Cecilia Tamanda Kadzamira, Dr Banda's life-long official hostess, who was at Mr Banda's death bed when the centenarian died on 25 November 1997 at a clinic in Johannesburg, South Africa, told BBC News Online she had no idea who was keeping the death certificate.
"I wish I knew who has it since no one can gain access to the records without the death certificate," she said.

Ngoshwe,

Huyu alikuwa mwanamke wa kutembea nae tu katika dhifa za kitaifa, lakini hakuwahi kumuoa, wala kuzaa nae!..

Na kama inavyosomeka hapo, huyu mama hajui kitu kuhusu madokomenti ya mzee, japo alikuwa nae akimuuguza pale Muhimbili kwao!
 
Ngoshwe,

Huyu alikuwa mwanamke wa kutembea nae tu katika dhifa za kitaifa, lakini hakuwahi kumuoa, wala kuzaa nae!..

Na kama inavyosomeka hapo, huyu mama hajui kitu kuhusu madokomenti ya mzee, japo alikuwa nae akimuuguza pale Muhimbili kwao!

Dr Banda's life-long official hostess, - mpaka kifo kinawatenganisha yupo nae tu karibu?? This was vere official mzee, hakutaka kuhudumiwa na mwanaume kabsaaaa!
 
Dr Banda's life-long official hostess, - mpaka kifo kinawatenganisha yupo nae tu karibu?? This was vere official mzee, hakutaka kuhudumiwa na mwanaume kabsaaaa!

Ngoshwe unaelewa maana ya HOSTESS?

Thread inaongelea juu ya FAMILIA, ie MKE NA WATOTO, not any other smelling-rat!..hope we are together!

Hostess \Host"ess\, n.
1. A female host; a woman who hospitably entertains guests at her house. --Shak.

2. A woman who entertains guests for compensation; a female innkeeper. -
 
Kuna habari zinasema kwamba huyu ndugu alilazimika kuhasiwa(castration) kwa sababu alikuwa ndiye daktari pekee wa Malkia wa Uingereza, naye akakubali kutendewa hivyo kwaajili ya heshima na malipo
That's it, alihasiwa!
 
Back
Top Bottom