Naona turudia tena tabia yetu ya kukimbilia kutibu symptoms badala ya ugonjwa wenyewe. Kwa kukimbilia matuta ni kukiri kuwa tumeshindwa kusimamia na kurekebisha tabia ya watumiaji wa barabara zetu. Kwa nini tunasisitiza kusema kuwa ni VIGUMU kuhakikisha sheria za usalama barabarani zinafuatwa? Wenye jukumu la kuzisimamia si wapo! kwa nini wasiwajibishwe? kwa mfano, ikitokea ajali mbaya ya basi, mwenye basi anasimamishiwa biashara ( anawajibika kuhakikisha kuwa dereva wake ni qualified na gari lake ni salama) na kamanda wa traffic wa eneo husika nae anakuwa suspended wakati uchunguzi unafanyika. Ikionekana kuwa ajali ilisababishwa na mwendo mkali, mwenye basi anaonywa na kuwajibishwa kama ni mara ya kwanza na kama ni mara ya tatu anafungiwa biashara ya kuchukua abiria. Kamanda wa traffic anashushwa cheo na ikitokea katika uangalizi wake zaidi ya mara tatu, anastaafishwa. Naamini tukifanya hivi (au hatua zifananazo) tutapunguza ajali maana hakuna anayetaka kukosa ajira au kipato. Madereva wananyang'anywa leseni kwa muda mrefu ( k.m. miaka mitano) na akirudia permamently.
Haya ya matuta yanafanana na wazo la kujenga hospitali kubwa Tumbi ati kwa vile ajali nyingi zinatokea Kibaha!
...........enforcement.............enforcement................enforcement..........Fundi yaani hiyo malizia yako hapo chini........imenivunja mbavu kweli.......hahahahah
Morani,
.....mmmmhhh....well.....tuboreshe matuta!!.............imgine mtu ana-speed between 120kph and 140kph..........."YERO" hata kama tuta ni bora kiasi gani aisee.........
Tusiwaonee haya wenye responsibility ya kuhakikisha usalama barabarani to both wenye mali/madereva na law enforcers.............lets act now