Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,421
- 8,377
HIVI karibumi mheshimiwa rais alizindua barabara hapo GEITA......yenye kiwango cha lami akiwa ameambatana na waziri wa ujenzi DR SHUKURU KAWAMBWA,na KATIBU MKUU OMAR CHAMBO...
Katika uzinduzi huo muheshimiwa rais aliwalaumu TANROADS Kwa kushindwa kuweka bumps au MATUTA kwenye barabara za KATI na CHALINZE hadi dodoma na nyingine nchini kwa kisingizio cha HIGHWAY wakati barabara ya MOSHI arusha Ina MATUTA[BUMPS] kila baada ya muda mfupi....alisema watu wa TANROADS wana DOUBLE FACE [DOUBLE STANDARDS]..
Kwa kitendo cha kuweka barabara ya Moshi - Arusha matuta ambayo ni highway na kutoweka highway nyingine nchini matuta.."TANROADS GUYS ARE ABSOLUTELLY RIDICULOUS AND WITH DOUBLE FACE"..alisema...
Aliendelea kusema ukosefu wa matuta huchangia ajali za barabarani na kutaka barabara zote ziwekwe matuta hata kama wataalamu wa masuala ya ujenzi wanapinga...wataalamu wa masuala ya ujenzi wanasema matuta ni chanzo kikubwa cha kufumuka kwa barabara nyingi na kusababisha viraka..na hasa wanasema kuwa kitaalamu barabara yoyote ya highway haitakiwi iwe na matuta ..bali inatakiwa iwe na ROAD SIGNS za kutosha....ambazo nazo nyingi huibiwa na kuuzwa kama vyuma chakavu....
nashauri wawe wanaweka ROAD SIGNS ZA PLASTICS.. nimeziona wanazitumia nchi mbali mbali pia...
Barabara ya SEGERA TO MOSHI TO ARUSHA ilijengwa miaka ya 1990...kwa msaada wa nchi za SCANDINAVIAN ....wakimtumia mkandarasi wao SKANSKA..na ni kati ya barabara imara nchini......barabara ya DAR to chalinze pia ilijengwa kwa ushirikiano wa tanzania na scandinavian country kwa mkopo nafuuu kwa kutumia kandarasi wao waliojiunga SKANPHIL COLAS[ aka SKANSKA AND PHIL COLABORATION].....na ni moja ya barabara imara kabisa nchini!
Katika uzinduzi huo muheshimiwa rais aliwalaumu TANROADS Kwa kushindwa kuweka bumps au MATUTA kwenye barabara za KATI na CHALINZE hadi dodoma na nyingine nchini kwa kisingizio cha HIGHWAY wakati barabara ya MOSHI arusha Ina MATUTA[BUMPS] kila baada ya muda mfupi....alisema watu wa TANROADS wana DOUBLE FACE [DOUBLE STANDARDS]..
Kwa kitendo cha kuweka barabara ya Moshi - Arusha matuta ambayo ni highway na kutoweka highway nyingine nchini matuta.."TANROADS GUYS ARE ABSOLUTELLY RIDICULOUS AND WITH DOUBLE FACE"..alisema...
Aliendelea kusema ukosefu wa matuta huchangia ajali za barabarani na kutaka barabara zote ziwekwe matuta hata kama wataalamu wa masuala ya ujenzi wanapinga...wataalamu wa masuala ya ujenzi wanasema matuta ni chanzo kikubwa cha kufumuka kwa barabara nyingi na kusababisha viraka..na hasa wanasema kuwa kitaalamu barabara yoyote ya highway haitakiwi iwe na matuta ..bali inatakiwa iwe na ROAD SIGNS za kutosha....ambazo nazo nyingi huibiwa na kuuzwa kama vyuma chakavu....
nashauri wawe wanaweka ROAD SIGNS ZA PLASTICS.. nimeziona wanazitumia nchi mbali mbali pia...
Barabara ya SEGERA TO MOSHI TO ARUSHA ilijengwa miaka ya 1990...kwa msaada wa nchi za SCANDINAVIAN ....wakimtumia mkandarasi wao SKANSKA..na ni kati ya barabara imara nchini......barabara ya DAR to chalinze pia ilijengwa kwa ushirikiano wa tanzania na scandinavian country kwa mkopo nafuuu kwa kutumia kandarasi wao waliojiunga SKANPHIL COLAS[ aka SKANSKA AND PHIL COLABORATION].....na ni moja ya barabara imara kabisa nchini!