Hata sijafikiria ,Sina hata mpangoBinafsi hata kwenda sijaenda manake sijajua wanajiandikishia wapi kwa mtaani kwangu
Rais wako mwenyewe kashaona zoezi linasuasua sana na halitafanikiwa, Sasa tutaona kama hao wakuu wa mikoa na wilaya watatusukuma kwa lazma. Hatutaki kushiriki kwenye dulma.Maeneo yanayoongozwa na chadema wananchi wagoma kujiandikisha kupiga kura
miaka ya nyum nilikuwa nikimhimiza mke wangu, jirani zangu na vijana wenzangu kujiandikisha na elimu ya kupiga kura, mwaka huu niko vize na kujitafutia mkate wa wanangu, sisikii hata mtaani mtu aneongelea zoezi la uchaguzi.Hata sijafikiria ,Sina hata mpango
JanjaBinafsi hata kwenda sijaenda manake sijajua wanajiandikishia wapi kwa mtaani kwangu