Rais awaombe radhi watu wa Kagera

Gulwa

JF-Expert Member
Jun 16, 2008
9,780
14,850
Nimesia clip moja ya rais katika ziara yake huko Kagera, maneno aliyoyatamka ni matusi ya nguoni na aibu kutamkwa na mtu mzima hasa mwenye hadhi kama yake. Katerero, ngono nk. Aibu kwa mkuu wa nchi. Labda kama ana matatizo mengine tusiyo yajua
 
Nimesia clip moja ya rais katika ziara yake huko kagera, maneno aliyoyatamka ni matusi ya nguoni na aibu kutamkwa na mtu mzima hasa mwenye hadhi kama yake. Katelelo, ngono nk. Aibu kwa mkuu wa nchi. Labda kama ana matatizo mengine tusiyo yajua
Mbona ni majina hayo ya sehemu huko huko Kagera...
 
tatizo waliotoa takwimu ya 4 kwa 1 hawaja orodhesha majina. lakini wangewekwa kwa majina kwa kufuata mtililiko wa halfabet,tungeishia. herufi ya 10 tu.ingekuwemo.
 
Wahaya sijui walimkosea nini laana za mizimu ya kihaya embandwa imeanza kazi
 
498deb14dd28dda6e9c93bffe8d5463d.jpg
ebb9399af7bbf4293515369a1f3f0fde.jpg
d9b332d2b99d323d0b6ebb36a1f71a4b.jpg
f3bb5a0f691700da762b10e26ef6b17d.jpg
 
Ndugu zangu wahaya tuliwachangia kwa moyo wote! Tulienda hadi nje ya nchi na kwenye mashirika ya kimataifa kuwaombea misaada. Hata ndugu yetu Museveni na Uhuru kwa uchungu walioona wakati majumba yanavunjika na watu wanakufa walileta misaada haraka. Ni jambo la kushangaza na kuhuzunisha kuona Rais anaipeleka kwenye mabarabara na mashule. Ndugu zangu poleni sana hatukutoa misaada kwa ajili ya mabarabara ila kuwajeresha kwenye hali ya kawaida, kuwajengea nyumba, au makazi. poleni sana.
 
Nimesia clip moja ya rais katika ziara yake huko Kagera, maneno aliyoyatamka ni matusi ya nguoni na aibu kutamkwa na mtu mzima hasa mwenye hadhi kama yake. Katerero, ngono nk. Aibu kwa mkuu wa nchi. Labda kama ana matatizo mengine tusiyo yajua

kwa hiyo na wewe umeamini hiyo clip ni ya rais Magufuli.? hiyo wametengeneza UKAWA kumchafua JPM.

Hotuba ya JPM tar 2 January, hakuna sehemu aliyoyatamka hayo maneno. Hiyo clip ni sauti tu ikiwa na picha ya JPM, kama ingekuwa halisi basi kwa nini aliyeileta achukue picha nyingine ambayo haihusiani na tukio.?

tulioona hotuba ya rais live siku hiyo, hakuna sehemu aliyotamka maneno hayo mliyoamua kumtengenezea UKAWA. hiyo sauti imeigizwa halafu ikapachikwa picha ya JPM kuwadanganya wajinga.

siliza vizuri hiyo clip utafakari vizuri utagundua.

SASA JPM AOMBE RADHI KWA LIPI.?
 
Back
Top Bottom