TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
Uwezekano wa Kuwepo Utawala Bora Kwa Mataifa Mengine na Kujali Katiba Kumetokana na Viongozi wa Vyama vya Siasa Kutokuwa na Influence ya Moja kwa Moja Pindi Mara Baada ya Uchaguzi.
Mfano Marekani, Ukitaka Kumjua ni Nani Mwenyekiti wa Chama cha Repuplican ambacho Ni chama Tawala unaweza usimjue, na wala hana Uwezo wa Kusukuma au kuathiri utendaji wa mfumo wa nchi.
Hii inasaidia Nini? Inawapa Uhuru wanasiasa wa Republican au Democrats for that matter, Iwapo Rais ametoka Chama chochote, Akikiuka Katiba kwa Mambo Muhimu kama Vile Bill of Rights, Hata Wabunge wa Chama Chake watampinga na Hana Uwezo wa Kuwafanya Kitu. Sio Kama Tanzania Rais akipingwa na Mbunge wa CCM anamlia Kobisi mpaka wakati wa Kura za Maoni anamkata Ngebe!
Pia Nchi zilizoendelea Hata Kama Rais ameudhika namna Gani, Hana Uwezo wa Kutumia Polisi au Vyombo vya Usalama Kumkamata Mwanasiasa au Mwandishi wa Habari. Akifanya Hivyo, Kesho yake ananing'inizwa chini ya Daraja na Wabunge wa Chama chake chenyewe.
Sisi Afrika, na Hasa Tanzania Akitokea Rais Mwehu akawa anaonea watu haki zao Basi Wabunge na Washabiki wa Chama Chake, Hata kama Wanadai wanamwamini Mungu na Kusali, Utawasikia Wakisema, "ANAWANYOOSHA", Ni Kwa Kuwa Kwao huyu amekuwa Ni Juu ya Utashi, ni Juu Ya Imani ni Juu ya MUNGU!
Mfano Marekani, Ukitaka Kumjua ni Nani Mwenyekiti wa Chama cha Repuplican ambacho Ni chama Tawala unaweza usimjue, na wala hana Uwezo wa Kusukuma au kuathiri utendaji wa mfumo wa nchi.
Hii inasaidia Nini? Inawapa Uhuru wanasiasa wa Republican au Democrats for that matter, Iwapo Rais ametoka Chama chochote, Akikiuka Katiba kwa Mambo Muhimu kama Vile Bill of Rights, Hata Wabunge wa Chama Chake watampinga na Hana Uwezo wa Kuwafanya Kitu. Sio Kama Tanzania Rais akipingwa na Mbunge wa CCM anamlia Kobisi mpaka wakati wa Kura za Maoni anamkata Ngebe!
Pia Nchi zilizoendelea Hata Kama Rais ameudhika namna Gani, Hana Uwezo wa Kutumia Polisi au Vyombo vya Usalama Kumkamata Mwanasiasa au Mwandishi wa Habari. Akifanya Hivyo, Kesho yake ananing'inizwa chini ya Daraja na Wabunge wa Chama chake chenyewe.
Sisi Afrika, na Hasa Tanzania Akitokea Rais Mwehu akawa anaonea watu haki zao Basi Wabunge na Washabiki wa Chama Chake, Hata kama Wanadai wanamwamini Mungu na Kusali, Utawasikia Wakisema, "ANAWANYOOSHA", Ni Kwa Kuwa Kwao huyu amekuwa Ni Juu ya Utashi, ni Juu Ya Imani ni Juu ya MUNGU!