ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Anataka kusifiwa tuAlitaka mabango yenye kusifia,
Anataka kusifiwa tuAlitaka mabango yenye kusifia,
Kwani alivyoenda kuzindua mwendokasi ilikuaje,si ulikua ushaanza fanya kazi karibia mwaka Ila kwa kupenda Kiki akaenda kuzindua tena.Mimi bado sijaelewa,kuhusu hiyo barabara,ina maana ilikuwa bado haijazinduliwa tu,au walitoa ile lami wakajenga upya,
nakumbuka miaka 8 iliyopita nilikuwa huko na barabara ilikuwepo ya lami,au walifanya kuijenga upya tena?
Mbona alivyokuwa Tanga kama sijakosea ashawahi kusema hivyo hivyo wenye pick up safirisheni mazao na msisumbuliwe na akafuta tozo kwa tani moja ?
Chadema mna matatizo sana
Hajawaokoa mkuu, kumbuka kodi ipo kwenye mafuta, unaponunua mafuta kila lita kodi shs 40, mwenye akili ndogo atasema wamekwepa kodi, la hasha wamekamuliwa haswaaLeo Kahama kwenye uzinduzi wa barabara ya kiwango cha lami yenye urefu wa km 132 Isaka---Ushirombo.
Rais amesema mazao yenu mkisafirisha zaidi ya tani moja anatakiwa ulipe ushuru. Sasa ili kuwakomoa safirisheni tani moja moja mpaka mazao yako yanaisha hata kama tani miambili.
hahahahahahqhahaha.......Leo Kahama kwenye uzinduzi wa barabara ya kiwango cha lami yenye urefu wa km 132 Isaka---Ushirombo.
Rais amesema mazao yenu mkisafirisha zaidi ya tani moja anatakiwa ulipe ushuru. Sasa ili kuwakomoa safirisheni tani moja moja mpaka mazao yako yanaisha hata kama tani miambili.
hahahahahahahahahaha............Rais akimjibu mwananchi kweli tuliingia Cha kikeView attachment 710437
Wakulima nchi hii wameshanyanyasika vya kutosha, wacha awaokoe
Unakodi gari la kubeba tani 7,wewe unabeba 1, afu gharama ya kubeba tani 1 sawa na tani 7,afu ukilipa ushuru na karushwa kidg kwa jamaa wa getini inakuwa poa kbs.Leo Kahama kwenye uzinduzi wa barabara ya kiwango cha lami yenye urefu wa km 132 Isaka---Ushirombo.
Rais amesema mazao yenu mkisafirisha zaidi ya tani moja anatakiwa ulipe ushuru. Sasa ili kuwakomoa safirisheni tani moja moja mpaka mazao yako yanaisha hata kama tani miambili.
Hata Mayalla hajui,huwa anaulizia tuHuyu wanasema eti ni Mhutu!!
CC Pascal Mayalla
Manaa tunaongelea magunia 10, sasa magunia 10 si ya chakula cha kula nyumbani tu haya, hii sera mi niliiona ya ajabu sana manaake haikuwa na msaada wowote kwa mkulima...mimi huwa sielewi wasomi wetu serikalini wanafanya kazi gani kama wanakuja na jambo la kijinga kama hili nao ndo wanasema wamemsaidia mkulima..Bora umetumia akili kwa kweli maana sometimes ukisoma humu unabaki unashangaa tu watu wanaongea utadhani hata la saba hawajafika. Kipi ghali kusafirisha tani moja moja hadi zifike kumi au kulipa kodi unasafirisha mara moja? Hata economy of scale hatuijui? Watakaofaidika na agizo hili ni wale wakulima wadogo wadogo amba uwezo wao ni kuzalisha tani moja au pungufu ya tani moja and not the other way round. Na hatuwezi kuongelea maendeleo kwa mkulima anayezalisha tani moja. Hiyo ni susistance farming in fact we can not call them farmers but rather call them peasants
kwahiyo mnazindua alafu mdanganye imejengwa na yy kumbe imejengwa na kikweteMkuu hata hiyo zamani waziri wa ujenzi alikuwa Magufuli
It is called to be nice to your tribal membersLeo Kahama kwenye uzinduzi wa barabara ya kiwango cha lami yenye urefu wa km 132 Isaka---Ushirombo.
Rais amesema mazao yenu mkisafirisha zaidi ya tani moja anatakiwa ulipe ushuru. Sasa ili kuwakomoa safirisheni tani moja moja mpaka mazao yako yanaisha hata kama tani miambili.
Kusafirisha mazao mengi kidogo kidogo unakuwa unakwepa ushuru wa mazao unakutana na road licence kwenye mafuta.Leo Kahama kwenye uzinduzi wa barabara ya kiwango cha lami yenye urefu wa km 132 Isaka - Ushirombo.
Rais amesema: “Mazao yenu mkisafirisha zaidi ya tani moja unatakiwa ulipe ushuru. Sasa ili kuwakomoa, safirisheni tani moja moja mpaka mazao yako yanaisha hata kama tani 200.”
Acha uongo hakuna mladi wa balabala kutoka Isaka kwenda UshiromboLeo Kahama kwenye uzinduzi wa barabara ya kiwango cha lami yenye urefu wa km 132 Isaka - Ushirombo.
Rais amesema: “Mazao yenu mkisafirisha zaidi ya tani moja unatakiwa ulipe ushuru. Sasa ili kuwakomoa, safirisheni tani moja moja mpaka mazao yako yanaisha hata kama tani 200.”