Panga Makalikuwili
JF-Expert Member
- Aug 30, 2016
- 291
- 432
Leo Kahama kwenye uzinduzi wa barabara ya kiwango cha lami yenye urefu wa km 132 Isaka - Ushirombo.
Rais amesema: “Mazao yenu mkisafirisha zaidi ya tani moja unatakiwa ulipe ushuru. Sasa ili kuwakomoa, safirisheni tani moja moja mpaka mazao yako yanaisha hata kama tani 200.”
Rais amesema: “Mazao yenu mkisafirisha zaidi ya tani moja unatakiwa ulipe ushuru. Sasa ili kuwakomoa, safirisheni tani moja moja mpaka mazao yako yanaisha hata kama tani 200.”