a45
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 1,325
- 1,402
mkuu si u-acknowledge tu ulipotoa hi kituVijana mtanipinga sana ila nawaambia ni rahisi sana kua maarufu kwa harakati za maneno ya kukosoa siasa au serikali za Africa sababu matatizo ni mengi.....ila ngumu sana kua maarufu kwa namna za kina Ruge,Mengi, Mo, bakhresa, Kusaga...na Hawa ndio hubadili maisha ya vijana wengi.
Nasimama na Dr John