Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,578
- 7,281
Mkuu twataka nyasi ziwake moto labda watakaa na kutafakari yale wanayo watendea wenzao. Nakumbuka Makamba alishamwambia Nape "Lililofungwa hapa duniani na mbinguni itakuwa hivyo hivyo" Haya Leo inaonekana wako upande mmoja. Mimi naomba wazidi kutifuana tu hadi waone umuhimu wa utawala bora.Naona wachochezi mpo kazini.