Rais anataka nini kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari?

kmbwembwe

JF-Expert Member
Aug 16, 2012
10,371
7,141
Kuna trend ya wahuni kutaka marudio ya kubinafsisha mali na mashirika ya taifa halafu wanakula dili na wawekezaji feki kupora mali za umma kama walivyofanya awamu ya Mkapa.

Mama wengi hatumuamini kutokana na utashi wake kupapatikia wafanyabiashara binafsi na uwekezaji wa nje bila kuona tija kwa maendeleo ya watanzania.

Tangu aingie tumeona anafikiri kushirikisha watu binafsi kwenye mashirika ya umma bila kuona hatari ya ubabaishaji na utapeli wa wawekezaji wababaishaj.

Alipokuwa anamtumbua CEO wa bandari ametaja kwamba anakwamisha wawekezaji kama sababu kubwa.

Hapo naona ni maagizo ceo mpya awasikilize wahuni wanaojidai kutaka kuwekeza wakati nia yao ni kuja kuidumaza bandari.

Sera yetu tangu zamani ni kuhakikisha sekta muhimili za uchumi kama bandari reli mawasiliano etc zinabakia mikononi kwa umma na pia kua na mamlaka imara za kudhibiti uchumu wa taifa.

Nina mashaka na uelewa wa mama wa mambo ya uchumi. Yafaa washauri wawe na uzalendo kumuongoza vizuri.
 
Huyu mama sijui hajui daki misheni za maharamia ya bongo?
Hata manunuzi anataka hata singo sosi apewe.
Hii inaenda kutafuna pesa za umma hakuna mfano.
 
Kuna trend ya wahuni kutaka marudio ya kubinafsisha mali na mashirika ya taifa halafu wanakula dili na wawekezaji feki kupora mali za umma kama walivyofanya awamu ya Mkapa.

Mama wengi hatumuamini kutokana na utashi wake kupapatikia wafanyabiashara binafsi na uwekezaji wa nje bila kuona tija kwa maendeleo ya watanzania.

Tangu aingie tumeona anafikiri kushirikisha watu binafsi kwenye mashirika ya umma bila kuona hatari ya ubabaishaji na utapeli wa wawekezaji wababaishaj.

Alipokuwa anamtumbua CEO wa bandari ametaja kwamba anakwamisha wawekezaji kama sababu kubwa.

Hapo naona ni maagizo ceo mpya awasikilize wahuni wanaojidai kutaka kuwekeza wakati nia yao ni kuja kuidumaza bandari.

Sera yetu tangu zamani ni kuhakikisha sekta muhimili za uchumi kama bandari reli mawasiliano etc zinabakia mikononi kwa umma na pia kua na mamlaka imara za kudhibiti uchumu wa taifa.

Nina mashaka na uelewa wa mama wa mambo ya uchumi. Yafaa washauri wawe na uzalendo kumuongoza vizuri.
Wajamaa hamna nafasi
 
Kuna trend ya wahuni kutaka marudio ya kubinafsisha mali na mashirika ya taifa halafu wanakula dili na wawekezaji feki kupora mali za umma kama walivyofanya awamu ya Mkapa.

Mama wengi hatumuamini kutokana na utashi wake kupapatikia wafanyabiashara binafsi na uwekezaji wa nje bila kuona tija kwa maendeleo ya watanzania.

Tangu aingie tumeona anafikiri kushirikisha watu binafsi kwenye mashirika ya umma bila kuona hatari ya ubabaishaji na utapeli wa wawekezaji wababaishaj.

Alipokuwa anamtumbua CEO wa bandari ametaja kwamba anakwamisha wawekezaji kama sababu kubwa.

Hapo naona ni maagizo ceo mpya awasikilize wahuni wanaojidai kutaka kuwekeza wakati nia yao ni kuja kuidumaza bandari.

Sera yetu tangu zamani ni kuhakikisha sekta muhimili za uchumi kama bandari reli mawasiliano etc zinabakia mikononi kwa umma na pia kua na mamlaka imara za kudhibiti uchumu wa taifa.

Nina mashaka na uelewa wa mama wa mambo ya uchumi. Yafaa washauri wawe na uzalendo kumuongoza vizuri.
Fisadi Kikwete ni hatari, sasa wanapora ardhi na kujenga vituo vya mafuta vya Lake Oil
 
Kuna trend ya wahuni kutaka marudio ya kubinafsisha mali na mashirika ya taifa halafu wanakula dili na wawekezaji feki kupora mali za umma kama walivyofanya awamu ya Mkapa.

Mama wengi hatumuamini kutokana na utashi wake kupapatikia wafanyabiashara binafsi na uwekezaji wa nje bila kuona tija kwa maendeleo ya watanzania.

Tangu aingie tumeona anafikiri kushirikisha watu binafsi kwenye mashirika ya umma bila kuona hatari ya ubabaishaji na utapeli wa wawekezaji wababaishaj.

Alipokuwa anamtumbua CEO wa bandari ametaja kwamba anakwamisha wawekezaji kama sababu kubwa.

Hapo naona ni maagizo ceo mpya awasikilize wahuni wanaojidai kutaka kuwekeza wakati nia yao ni kuja kuidumaza bandari.

Sera yetu tangu zamani ni kuhakikisha sekta muhimili za uchumi kama bandari reli mawasiliano etc zinabakia mikononi kwa umma na pia kua na mamlaka imara za kudhibiti uchumu wa taifa.

Nina mashaka na uelewa wa mama wa mambo ya uchumi. Yafaa washauri wawe na uzalendo kumuongoza vizuri.
Kwanini usihame nchi mpaka Mama yetu kipenzi cha Watanzania alize mihula yake? Sukuma gang mtapata tabu sana
 
Huyu mama sijui hajui daki misheni za maharamia ya bongo?
Hata manunuzi anataka hata singo sosi apewe.
Hii inaenda kutafuna pesa za umma hakuna mfano.
Jiwe ambaye ni sukuma gang mwenzenu alikuja na sera zake za ushirikina na ushamba mwisho wa silu nchi ikarudi emzi za ujima, kaeni kwa kurulia nyie sukuma gang. Muda wenu umeisha
 
Jiwe ambaye ni sukuma gang mwenzenu alikuja na sera zake za ushirikina na ushamba mwisho wa silu nchi ikarudi emzi za ujima, kaeni kwa kurulia nyie sukuma gang. Muda wenu umeisha
Jiwe alifanya vibaya lakini hii haimaanishi pia sasa hivi watu wakae kimya pale wanapoona hapako sawa
 
Jiwe ambaye ni sukuma gang mwenzenu alikuja na sera zake za ushirikina na ushamba mwisho wa silu nchi ikarudi emzi za ujima, kaeni kwa kurulia nyie sukuma gang. Muda wenu umeisha
Bana makalio usepe.
Mimi na sukuma gang wapi na wapi?
 
Rais anakuwa misled kwenye mambo mengi na unfortunately hafanyi research ya kutosha.

Mfano leo kwenye hotuba yake it seems wamempa taarifa za uongo za kwanini mchakato wa tenda haukufuatwa kwa ile kampuni ya kichina ya Mwigulu na kawaamini.

Ikafikia mpaka anataka Sheria za PPP na PPA zifanyiwe marekebisho kuaccomodate mambo kama hayo.

Hapa watendaji wa serikali watakua wanampa taarifa potofu Rais ili kuzipa tenda kampuni zao na za washkaji wao.

Mwigulu hatufai jamani.

Dunia ya sasa ni ya kufanya mambo kwa uwazi mwenye sifa apewe ila haya mambo ya kupeana tenda kishkaji yatadumaza sekta binafsi maana watakaopewa kazi ni wale tu wanaofahamiana na viongozi serikalini.

Tunakoelekea sijui ni wapi.
 
Kwa kushirikiana na Marekani, tukimuachia Mchina karibia ataanza somba Watumwa kwa madeni anayotudai na CCM itasema Wapinzani tuanze kusombwa kwanza.
Mmarekani?? Sasa bandari si itakua chini yake, hakuna ambacho tutafanya.

Kwenye madini miaka nenda rudi mmeshindwa kulamba 50/50. Leo mnawaza bandari? Kichekesho hiki
 
Hizo kampuni au hao wafanyabiashara ndio wale walikimbizwa na Jpm kwahyo mama nae anapewa maelekezo tu na mtu mwingine wala hana nguvu kama unavyo fikiria yupo yupo tu.
 
17 Reactions
Reply
Back
Top Bottom