Rais anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri fulani ana uwezo mdogo, Je ni kumwingilia Rais katika uteuzi?

Wanabodi,

Huu ni uzi wa swali tuu,
Rais Anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri Fulani ana uwezo mdogo , Jee ni Kumwingilia Rais Katika Uteuzi?.

Tanzania ni nchi yetu sote, watu wenye mamlaka kuu kuhusu nchi hii ni "we the people" kupitia katiba ya JMT, tumechagua viongozi wetu akiwemo rais wa JMT, ambaye tumemuajiri kwa kura zetu na kumlipa mshahara kwa kodi zetu, hivyo we are the boss!.

Ili rais wetu atimize majukumu yake vizuri, tumempa mamlaka ya kuteua wasaidizi wake kwa uhuru bila kuingiliwa. Miongoni mwa wasaidizi hawa ni mawaziri na manaibu mawaziri.

Inapotokea baadhi ya mawaziri hawa ni hawana uwezo kabisa, japo wana ma cheti ya kuhitimu, lakini vichwani ni watupu kabisa, ni weupe, hawawezi kumsaidia kitu rais, jee kuna ubaya kumwambia rais waziri fulani anauwezo mdogo na hakusaidii?.

Inapotokea mtu baki kama mimi, nikamuona waziri fulani ana uwezo mdogo, jee kumtaja kwa jina waziri fulani kuwa ana uwezo mdogo, jee huku kutakuwa ni kumwingilia rais katika powers zake za uteuzi, au ni kumsaidia kujua kuwa kwenye line-up yake, licha ya kuwa na majembe yanayomsaidia lakini pia kuna viazi ambavyo haviwezi kumsaidia chochote.

Juzi kati nilipata fursa ya kuangalia kwenye TV, mahojiano ya naibu waziri fulani, kiukweli kabisa, ni hajui kitu mpaka basi!. Jee tukimtajia rais Magufuli kuwa mteule huyu hajui kitu, huku ni kumwingilia au ni kumsaidia?.

NB. Naombeni kwa heshima ya mamlaka ya uteuzi, tusichangie kwa kutaja majina yoyote ya mawaziri hawa wasio na uwezo , kuwataja majina ni kuwadhalilisha, ukiwadhalilisha wateule wa rais, ni kumdhalilisha rais!, ila kiukweli sisi watu wa kujiuliza, ukimuona mtu ni hana uwezo hata kabla hajateuliwa, halafu anakuja kuteuliwa, unajiuliza hivi mteule alikuwa anatumia vigezo gani kuwateua mawaziri hawa?!.

Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali.
hili ni jibu kwa swali lililoko kwenye subject ya thread: HELL NO!
 
Wanabodi,

Huu ni uzi wa swali tuu,
Rais Anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri Fulani ana uwezo mdogo , Jee ni Kumwingilia Rais Katika Uteuzi?.

Tanzania ni nchi yetu sote, watu wenye mamlaka kuu kuhusu nchi hii ni "we the people" kupitia katiba ya JMT, tumechagua viongozi wetu akiwemo rais wa JMT, ambaye tumemuajiri kwa kura zetu na kumlipa mshahara kwa kodi zetu, hivyo we are the boss!.

Ili rais wetu atimize majukumu yake vizuri, tumempa mamlaka ya kuteua wasaidizi wake kwa uhuru bila kuingiliwa. Miongoni mwa wasaidizi hawa ni mawaziri na manaibu mawaziri.

Inapotokea baadhi ya mawaziri hawa ni hawana uwezo kabisa, japo wana ma cheti ya kuhitimu, lakini vichwani ni watupu kabisa, ni weupe, hawawezi kumsaidia kitu rais, jee kuna ubaya kumwambia rais waziri fulani anauwezo mdogo na hakusaidii?.

Inapotokea mtu baki kama mimi, nikamuona waziri fulani ana uwezo mdogo, jee kumtaja kwa jina waziri fulani kuwa ana uwezo mdogo, jee huku kutakuwa ni kumwingilia rais katika powers zake za uteuzi, au ni kumsaidia kujua kuwa kwenye line-up yake, licha ya kuwa na majembe yanayomsaidia lakini pia kuna viazi ambavyo haviwezi kumsaidia chochote.

Juzi kati nilipata fursa ya kuangalia kwenye TV, mahojiano ya naibu waziri fulani, kiukweli kabisa, ni hajui kitu mpaka basi!. Jee tukimtajia rais Magufuli kuwa mteule huyu hajui kitu, huku ni kumwingilia au ni kumsaidia?.

NB. Naombeni kwa heshima ya mamlaka ya uteuzi, tusichangie kwa kutaja majina yoyote ya mawaziri hawa wasio na uwezo , kuwataja majina ni kuwadhalilisha, ukiwadhalilisha wateule wa rais, ni kumdhalilisha rais!, ila kiukweli sisi watu wa kujiuliza, ukimuona mtu ni hana uwezo hata kabla hajateuliwa, halafu anakuja kuteuliwa, unajiuliza hivi mteule alikuwa anatumia vigezo gani kuwateua mawaziri hawa?!.

Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali.
Unasemaje ikiwa hata rais akawa na uwezo mdogo na ni mweupe kabisa?
 
Wanabodi,

Huu ni uzi wa swali tuu,
Rais Anapoteua Mawaziri wenye uwezo mdogo, Ukisema Waziri Fulani ana uwezo mdogo , Jee ni Kumwingilia Rais Katika Uteuzi?.

Tanzania ni nchi yetu sote, watu wenye mamlaka kuu kuhusu nchi hii ni "we the people" kupitia katiba ya JMT, tumechagua viongozi wetu akiwemo rais wa JMT, ambaye tumemuajiri kwa kura zetu na kumlipa mshahara kwa kodi zetu, hivyo we are the boss!.

Ili rais wetu atimize majukumu yake vizuri, tumempa mamlaka ya kuteua wasaidizi wake kwa uhuru bila kuingiliwa. Miongoni mwa wasaidizi hawa ni mawaziri na manaibu mawaziri.

Inapotokea baadhi ya mawaziri hawa ni hawana uwezo kabisa, japo wana ma cheti ya kuhitimu, lakini vichwani ni watupu kabisa, ni weupe, hawawezi kumsaidia kitu rais, jee kuna ubaya kumwambia rais waziri fulani anauwezo mdogo na hakusaidii?.

Inapotokea mtu baki kama mimi, nikamuona waziri fulani ana uwezo mdogo, jee kumtaja kwa jina waziri fulani kuwa ana uwezo mdogo, jee huku kutakuwa ni kumwingilia rais katika powers zake za uteuzi, au ni kumsaidia kujua kuwa kwenye line-up yake, licha ya kuwa na majembe yanayomsaidia lakini pia kuna viazi ambavyo haviwezi kumsaidia chochote.

Juzi kati nilipata fursa ya kuangalia kwenye TV, mahojiano ya naibu waziri fulani, kiukweli kabisa, ni hajui kitu mpaka basi!. Jee tukimtajia rais Magufuli kuwa mteule huyu hajui kitu, huku ni kumwingilia au ni kumsaidia?.

NB. Naombeni kwa heshima ya mamlaka ya uteuzi, tusichangie kwa kutaja majina yoyote ya mawaziri hawa wasio na uwezo , kuwataja majina ni kuwadhalilisha, ukiwadhalilisha wateule wa rais, ni kumdhalilisha rais!, ila kiukweli sisi watu wa kujiuliza, ukimuona mtu ni hana uwezo hata kabla hajateuliwa, halafu anakuja kuteuliwa, unajiuliza hivi mteule alikuwa anatumia vigezo gani kuwateua mawaziri hawa?!.

Nawatakia Jumapili Njema.
Paskali.
Paskali,
Rejea moja ya bandiko lako humu kuwa rais anaweza mteua yeyote tena bila kuhojiwa.
Mi nadhani kwa sasa acha aenjoy kwa hilo hadi pale tutakapo rekebisha katiba.
Lolote lile utakuwa unamuingilia,ulitimiza wajibu wako wa kupiga kura,nae anatimiza wajibu wake. Na uzuri rais anaitambua previlege hiyo ndiyo maana amesema yeye ni jiwe,hatishwitishwi,hajaribiwi na ole wetu.
 
PASCO ,Rais ni mchaguliwa wa wananchi.
Mteule wake akibronga, sawa na Rais kuboronga.
Wananchi wana kila haki kusema mtu uliyetuletea hatuhudumi kwa viwango tunavyotaka wananchi.
Na hilo laweza mpunguzia kura Rais huko mbeleni.

Rais si malaika, akikosea hata yeye lazima anyooshewe kidole, unless tunaanza kuingiza mentality ya utawala wa kifalme.
Rais Wa nchi hii akosolewe? Thubutu!!
 
Can the mind see the truth of its own incapacity to know the unknown? Surely if I see very clearly that my mind cannot know the unknown, there is absolute quietness
 
Vipeee Kaka

Weka mifano.. nasi tusiosikia habari zao tuwajue basi.

Nasubiri kusikia yule wa Njiro kafikia wapi pia ka mengi alitanua kutusubirisha..
 
“The only penalty you get from not participating in politics is that you will be led by your inferiors” Pascal Mayalla hebu andika maoni yako kuhusu mataifa beberu yanavyojitahidi kudhoofisha utawala wa JPM kwa kutumia vibaraka wao na vipeperushi vyao kama the economist.
anajidhoofisha mwenyewe kwa tabia zake za kilugaluga
 
Shida inaanzia kwa mteuaji.....! Ndio chanzo cha kila kitu. Hashauriki, haambiliki wala hasikiii. Anataka kuombewa na kuungwa mkono tuu.

Unataka kumshauri.. acha hizo utendaji ni walioteuliwa.. wanapewa nafasi hawajui kazi

Wewe ukimshauri utatumia vigezo vipi haswa!!

Atachagua atasepesha

Hata USA hayo hayo tho wana ya zaidi ya nyuma..
 
PASCO ,Rais ni mchaguliwa wa wananchi.
Mteule wake akibronga, sawa na Rais kuboronga.
Wananchi wana kila haki kusema mtu uliyetuletea hatuhudumi kwa viwango tunavyotaka wananchi.
Na hilo laweza mpunguzia kura Rais huko mbeleni.

Rais si malaika, akikosea hata yeye lazima anyooshewe kidole, unless tunaanza kuingiza mentality ya utawala wa kifalme.
Unasema Rais si malaika!ngoja akusikie,mwenzio ana ndoto ya kuwa Head Prefect wa Angels huko mbeleni...oh hoh!
 
Yule naibu waziri "mdada" wa wizara waimba nyimbo, wachezaji na waandishi alitaka kuniliza, kaaah anawezaje kuwa na hoja dhaifu namna ile wakati alikua anajibu maswali au hoja nyepesi mno namna ile ?

Yaani wale vijana wa kipindi cha mchana walikua na maswali meupe mno, Dada akawa anaeleza sijui vitu gani masikini ....!

Sijui amepatwa na nini huyu binti
 
Unafiki ndio sifa kuu ya uongozi sasa hivi..Namshangaa Mwigulu kujitoa ufahamu kwa mambo ambayo hata mtoto mdogo anajua ukweli wake.. Waziri pekee angalau mwenye uafadhali ni Lukuvi..Profesa Ndalichako tulimuamini ila ndio hivyo tena amegeuka kuwa Waziri wa Masifuri(division zero) unafiki unamtafuna huyu mama, anajifanya kama vile hazijui changamoto za waalimu na wanafunzi wa tanzania amekuwa politician kwelikweli..Mwijage ndio sitaki hata kumzungumzia..Makamba kafichwa huko jeuri yoote hakuna sasa n zamu ya Bashite, Mnyeti na Gambo.
 
Mkuu Pascal, unategemea utendaji gani uliotukuka katika nchi ambayo Mkuu wa Mkoa ana Mamlaka makubwa kuliko Waziri kiasi cha kutengua agizo la Waziri na asichukuliwe hatua na mamlaka yake ya Uteuzi?
 
Back
Top Bottom