Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,707
- 71,018
Ukisikiliza mazungumzo ya mabishano kwa simu kati ya Mbunge wa Arusha Godbless Lema na mkuu wa wilaya ya Hai Ole Sabaya utagundua kuwa mheshimiwa Rais anawakilishwa katika ngazi mbalimbali na vijana wahuni na wanao jihusisha na jinai kwa kutumia madaraka waliyopewa na Rais.
Hili la Ole Sabaya la kuteka watu, kujaribu kuua na kudai hongo kwa nguvu limeanza kusemwa siku nyingi kabla ya kunaswa Leo kwa majibishano hayo. Jee taasisi zifanyazo kazi ya uchunguzi hazimwambii Rais matendo ya aibu yatendwayo na mwakilishi wake?
Au anaambiwa anapuuza kama anavyo puuza matendo ya aibu ya mteule wake mwingine Makonda?
Katiba inaruhusu bunge kujadili kumuondoa Rais madarakani kwa kufedhehesha mamlaka ya kiti chake jee kuruhusu wahuni kama Ole Sabaya kutumia jina la Rais kutenda uhuni na kupanga mauaji sio kufedhehesha kiti?
Maana wananchi wameelewa hivyo kuwa wahuni hawa wana go ahead ya Rais kufanya hayo.
Hili la Ole Sabaya la kuteka watu, kujaribu kuua na kudai hongo kwa nguvu limeanza kusemwa siku nyingi kabla ya kunaswa Leo kwa majibishano hayo. Jee taasisi zifanyazo kazi ya uchunguzi hazimwambii Rais matendo ya aibu yatendwayo na mwakilishi wake?
Au anaambiwa anapuuza kama anavyo puuza matendo ya aibu ya mteule wake mwingine Makonda?
Katiba inaruhusu bunge kujadili kumuondoa Rais madarakani kwa kufedhehesha mamlaka ya kiti chake jee kuruhusu wahuni kama Ole Sabaya kutumia jina la Rais kutenda uhuni na kupanga mauaji sio kufedhehesha kiti?
Maana wananchi wameelewa hivyo kuwa wahuni hawa wana go ahead ya Rais kufanya hayo.