Haraka iwezekanavyo. Labda itakuwa Jumatatu.Wajuzi ya sheria na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania naomba kujuzwa...
Hafi mtu tenaRais akifa na makamu akiwa lemutuz si ndio anakua rais
Hata kwa Samia kuna watu walisema apewe tu, si atakuwa anakata utepe tu.Hata wakimpa Msukuma haituhusu cheo cha makamu hakina athari zozote
FactHata kwa Samia kuna watu walisema apewe tu, si atakuwa anakata utepe tu.
Hafi mtu tena
Anaweza akapewa mtu halafu after 3 months unasikia mama kapata "heart attack" hospitali ya MzenaFact
So sadKwa zile push-ups ulitegemea huyu kufa?
Ndugu, Mwenye enzi Mungu ana yake aliyo yapanga kwa taifa na watu wake , wakati wake na taifa lake... Tuishi kwa kulitukuza jina la muumba wetu awaye yote, mengineyo ni vyeo tu ambavo havina maana , humu duniani sote hatuna zaidi ya miaka 100 toka sasa...Hakuna bunge kuna genge la cccm tu pale Wala jina halitapelekwa watatajiwa tu Kama kuteua na kupandisha majaji kulivokuwa kunafanywa na mpenzi zaidi wa Mungu
Kweli aseeAnaweza akapewa mtu halafu after 3 months unasikia mama kapata "heart attack" hospitali ya Mzena
Bora huu msiba ungetokea mwezi kama huu mwaka 2019/20! Nimewaza tu lakini. 🤔Mosi, Rais wa JMT mama Samia baada ya kuapishwa atapendekeza jina la makamu wa Rais wa JMT ambaye atatoka kwenye chama chake cha CCM
Pili, makamu wa Rais mteule ataidhinishwa na bunge kwa kupigiwa kura ambako atatakiwa kupata 50% au zaidi kukalia kiti hicho.
Kwa sababu bunge lina wabunge wengi wa CCM yaani zaidi ya 95% inategemewa mchakato wa kura utakuwa mwepesi sana.
Maendeleo hayana vyama!