Rais anapodanganya Umma na kulialia eti Umasikini...

kutangulia kusoma madrasaat badala ya elimu inayomfungua mtu kichwa kwanza ni tatizo, elimu aliyosoma kwa kiasi imeathiliwa na alimu ya awali ile ya kukaririshwa mambo

NO!!

Issue siyo madrasa hapa na kucrame mambo, issue ni kuwa JK ni mweupe! pe! kuna waliosoma madrasa ninawajua they are smart.

JK ana matatizo ya experience ya kazi amemaliza chuo akaenda kugawa kadi za TANU.

Sijajua kama anajua kitu kinachoitwa research, criticism, papers, thinking yake kwa ujumla inatuchafua watanzania wote. Huwezi kamwe kumweka chungu kimoja na Ben Mkapa katika issue za uongozi wa kisomi.

Ujinga huu wa Jk ni matokeo ya culture wakati mwingine, maana unaona kabisa kama JK na Mwinyi wametoka nyumba moja mitazamo yao n.k, AT least mwinyi alikuwa angalau mjanja.

we need brains at the top, we need smart people , JK will never be among them,even if we will deny this; his presence and actions will always be reminding us that we have a problem! president is a problem CCM is

Na ukienda CCM ukakuta wote wanasema aendelee, basi ujue tatizo siyo JK tu, yeye ana present wengi ndani ya CCM ambao wamekalia uswahili, jobless, wishful thinking, uzembe,kucheza bao n.k
 
Gembe.. siku chache zilizopita alipokuwa akizungumza na mabalozi kwenye sherry party alizungumzia gharama ya ujenzi wa hiyo miundo mbinu... alisema ni bilioni 10! juzi Engineer Chambo akasema sijui bilioni 13.. leo wamefikia bilioni 17, by the end of next week itakuwa bilioni 20.

I got a pendekezo.. why not go to bilioni 50 yaishe. It looks we have a thing for 50!!


Usijali watafika hapo kwenye 50 Bil...uchaguzi unakaribia. Na ikifika wakati wa bajeti mwakani Wabunge wataambiwa gharama halisi zilikuwa 100 Bil...!!
 
Huyu rais ni kubwajinga Ooops siyo kubwajinga member hapa , You know what I mean.
 
kama neno linaumba basi lazima tuwe maskini. tunahitaji rais atakayetabiri utajiri katika Tanzania. Akiangalia kila mkoa aone plent of resources halafu azifanyie kazi na sio kulia tuuuuuuuuu. maskini ,!!!maskini !!!!!. Sisi ni matajiri bwana alaaaaaaaaaaa!

matanazite, maurainum, mafuta, makaa ya mawe, matembo, mavifaru, mabahari, maardhi makubwa ya kujenga maghorofa ya maghufuli , maziwa, marutuba!!!!! aiiiii a lot. Kiwete tabiri upya kuhusu Tanzania neno umaskini limetuchosha, lazima tuishi kwa mawazo ambayo baadaye yanakuwa implemented, halafu yanazaa matunda, halafu utajiri, duuuu.au siyo bwana!!!
 
kama neno linaumba basi lazima tuwe maskini. tunahitaji rais atakayetabiri utajiri katika Tanzania. Akiangalia kila mkoa aone plent of resources halafu azifanyie kazi na sio kulia tuuuuuuuuu. maskini ,!!!maskini !!!!!. Sisi ni matajiri bwana alaaaaaaaaaaa!!!
matanazite, maurainum, mafuta, makaa ya mawe, matembo, mavifaru, mabahari, maardhi makubwa ya kujenga maghorofa ya maghufuli , maziwa, marutuba!!!!! aiiiii a lot . Kiwete tabiri upya kuhusu Tanzania neno umaskini limetuchosha, lazima tuishi kwa mawazo ambayo baadaye yanakuwa implemented, halafu yanazaa matunda, halafu utajiri, duuuu.au siyo bwana!!!
Hata kilimo tu tukiwa serious kitatutoa kabisa kwenye umaskini. Nachohisi ni kuwa viongozi wetu hawajui wanafanya nini zaidi ya kupata deal za wao kuwa matajiri.

Haiwezekani kila siku tunaendeleza chorus hii isiyo na ukweli wowote, yenye kulea kutofikiri na uvivu wa kujituma kufanya kazi, tukiamini eti sisi maskini hatuwezi kuondokana na umaskini wetu.
Tunaamini katika kuomba omba tu kama kina Matonya.Aibu tupu
 
Back
Top Bottom