Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Mwisho wa maelezo yangu nimekuandikia kwamba rais ni mkuu wa nchi na mkuu wa serikali. Tatizo ni kugundua ni wakati gani anazungumza kama mkuu wa nchi na wakati gani ni mkuu wa serikali.Jielekeze kwenye hoja, suala siyo posho. Tunajadili mamlaka ya Rais dhidi ya Bunge na Mahakama, ni sahihi kwa muhimili mmoja kutoa MAAGIZO kwa mihimili mingine?
Siku akisema tujifungie ndani kwa sababu ya Coronavirus, hata Bunge halitakaa. Sasa usiulize kwa nini Bunge halikukaa wakati Spika hajasema.