Nimeshangaa mzee wa tucta kwenye Mei mosi anawashurutisha wafanya kazi waungane na Rais wa CCM kwenye uchaguzi ujao!
Wafanyakazi Ni Raia, Wana haki ya kuchagua yoyote awe Rais wao!
Tucta bado, Wana dhana ya siasa za chama dume! Kwamba Kuna vyama vingi ila Kuna chama dume!
Wafanyakazi Ni Raia, Wana haki ya kuchagua yoyote awe Rais wao!
Tucta bado, Wana dhana ya siasa za chama dume! Kwamba Kuna vyama vingi ila Kuna chama dume!