Utenguzi: Rais Samia atengua nafasi za Viongozi wafuatao

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
20230124_181609.jpg
 
Watu wanamdharau mama eti siyo mkali. Wanasahau kuwa alishaweka wazi kwamba makuzi na Imani yake havimuruhusu kumfokea mtu mzima, na kwamba yeye anatumia kalamu.

Huwezi kufanya Kazi za utawala majukwaani, huko ni kutafuta political popularity ambayo Rais wa nchi haiitaji kwa sababu tayari ni popular kwa nafasi yake.

Mama yuko kazini wanaobisha wataendelea kuumia tu.
 
Back
Top Bottom