Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Unaweza kushangaa lakini hii ndio hali Taifa lilikofika, tukisema tu watu hawatuelewi, lakini kazi yetu ni kusema, tutaendelea kusema iko siku watu watatuelewa.
Huyu Jimson Mhagama aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi anakwenda kuwa msimamizi wa Uchaguzi katika majimbo ndani ya wilaya hiyo, (Returning officer) wakati sasa hivi anavyoteuliwa alikuwa ni Katibu wa CCM Mkoa wa Ruvuma, akitokea Singida na alikuwa Katibu wa ccm wilaya ya Mufindi.
Sheria za Tamisemi zinaainisha sifa za Wakurugenzi na moja ya sifa kuu ya kwanza ni lazima wawe watumishi wa serikali na wawe wameongoza idara katika serikali kwa angalau miaka kadhaa.
Leo UVCC na makada wao wengine ndio wanakwenda kuwa wasimamizi wa uchaguzi, je unataraji huyu amtangaze mshindi wa upinzani 2020????
Na Yericko Nyerere
Huyu Jimson Mhagama aliyeteuliwa kuwa Mkurugenzi anakwenda kuwa msimamizi wa Uchaguzi katika majimbo ndani ya wilaya hiyo, (Returning officer) wakati sasa hivi anavyoteuliwa alikuwa ni Katibu wa CCM Mkoa wa Ruvuma, akitokea Singida na alikuwa Katibu wa ccm wilaya ya Mufindi.
Sheria za Tamisemi zinaainisha sifa za Wakurugenzi na moja ya sifa kuu ya kwanza ni lazima wawe watumishi wa serikali na wawe wameongoza idara katika serikali kwa angalau miaka kadhaa.
Leo UVCC na makada wao wengine ndio wanakwenda kuwa wasimamizi wa uchaguzi, je unataraji huyu amtangaze mshindi wa upinzani 2020????
Na Yericko Nyerere