kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 5,987
- 6,646
Nivigumu sana kumwamini MTU anayeenda kinyume na Kiapo chake kwa mwenyezi Mungu tena mbele ya watz wote kwamba atailinda na kuitetea katiba nasasa anaisigina katiba bila kujali.
Mungu hawezi kuwa upande wa yeyote atendaye kwa hila.
Uungwana ni vitendo.
Mungu hawezi kuwa upande wa yeyote atendaye kwa hila.
Uungwana ni vitendo.