Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Ndugu zanguni
Leo hii jeshi la polisi limepata mkuu mpya wa upelelezi Tanzania ambaye ni Issaya Mngulu
Taarifa hizi ni faraja kwa wapenda amani kwani tumechaguliwa jembe la kazi
Nimefanya kazi na Mngulu miaka mingi na hakuna kingine kilichomfikisha hapa zaidi ya utendaji kazi bora.
MICHUZI BLOG
Leo hii jeshi la polisi limepata mkuu mpya wa upelelezi Tanzania ambaye ni Issaya Mngulu
Taarifa hizi ni faraja kwa wapenda amani kwani tumechaguliwa jembe la kazi
Nimefanya kazi na Mngulu miaka mingi na hakuna kingine kilichomfikisha hapa zaidi ya utendaji kazi bora.
MICHUZI BLOG