Mtoto wa Mkulima
JF-Expert Member
- Apr 12, 2007
- 681
- 132
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Mussa Asaad kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania.
Dkt. Asaad ni Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na atashikilia nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu. Rais amemteua Dkt. Asaad kwa mujibu wa kifungu Na. 31(1) cha sheria ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (The National Board of Accountants and Auditors Act) ya mwaka 1995,na uteuzi huo wa Dkt. Asaad umeanza rasmi tarehe 29 Agosti, 2007. Gray S. Mgonja KATIBU MKUU-HAZINA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dkt. Mussa Asaad kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania.
Dkt. Asaad ni Mhadhiri Mwandamizi katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na atashikilia nafasi hiyo kwa kipindi cha miaka mitatu. Rais amemteua Dkt. Asaad kwa mujibu wa kifungu Na. 31(1) cha sheria ya Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (The National Board of Accountants and Auditors Act) ya mwaka 1995,na uteuzi huo wa Dkt. Asaad umeanza rasmi tarehe 29 Agosti, 2007. Gray S. Mgonja KATIBU MKUU-HAZINA