Rais ampe nishani Charles Kimei

Netanyahu

Senior Member
Oct 2, 2008
147
22
Ni muda mrefu sikuweko nchini niliporudi kwa likizo nilishangaa kukuta Benki ya CRDB ambayo niliicha ikiwa ni shirika la umma iliyokuwa hatarini kufa wakati naondoka ikiwa benki imara ya ajabu ambayo ilikuwa na uwezo wa kushindana na mabenki makubwa ya nje kwa huduma za kisasa za kibenki.

Benki ile ingekuwa imekufa na si siri .Nilipouliza ni wazungu gani wameifikisha hapo katika mafanikio yake nikaambiwa hakuna mzungu bali kuna Managing Director Mswahili anaitwa Charles KImei ndiye kaifikisha hapo ilipo.

Huyu kaitoa CRDB iliyokuwa imechoka ikichungulia kaburi hadi hapo ilipo .Sioni sababu ni kwa nini Mtanzania aliyefanya maajabu ya kuifanya iwe ya faida ya kisasa asipewe nishani na Raisi.Ni msomi aliyebaki nchini wa kupigiwa saluti.Wasomi wengi watanzania walipewa mashirika ya UMMA zaidi ya mia nne karibu mia nne yote yamekufa mikononi mwa wasomi hao uchwara yaliyonusurika yamenusurikia mikononi mwa ma-managing directors wageni.CRDB imenusikia mikononi mwa Managing Director Mtanzania ni kwa nini asipewe nishani na Raisi? Kwa maoni yangu napendekeza akumbukwe ni symbol muhimu ya wasomi wa Tanzania kuiga kuwa msomi anayejua kazi yake hata akipewa shirika la umma linalokaribia kufa kama kichwa chake kiko fit na hakusoma kukariri notes na kununua mitihani aweza lifanya lizae faida na likashindana na mashirika ya kimataifa bila woga.
 
Kimei is simply doing what he is paid to do. Apewe Nishani? for what exactly? hivi mentality ya watanzania kufanya kazi unayotakiwa kufanya na kutegeme sifa itaisha lini? Kama anastahili atapewa...kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza...

CRDB..is still mediocre kwa standards za modern banking. Infact jamaa wa CRDB nilikuwa na account nao..nilishaifunga..wanabore sana hawa jamaa....huduma zao ni mbovu. Yes, I say it as a customer with experience. Kimei amejitahidi lakini si ndo maana analipwa millions?

To me, mtu anayestahili nishani ni mtu ambaye amelitumikia taifa katika mazingira magumu ya sacrifice..What has Kimei sacrificed?

Think about it...I dont see anything special Kimei has done. Kwamba aliitoa benki on the brink of collapse? thats exactly what he was hired to do.
 
Kimei is simply doing what he is paid to do. Apewe Nishani? for what exactly? hivi mentality ya watanzania kufanya kazi unayotakiwa kufanya na kutegeme sifa itaisha lini? Kama anastahili atapewa...kizuri cha jiuza kibaya cha jitembeza...

CRDB..is still mediocre kwa standards za modern banking. Infact jamaa wa CRDB nilikuwa na account nao..nilishaifunga..wanabore sana hawa jamaa....huduma zao ni mbovu. Yes, I say it as a customer with experience. Kimei amejitahidi lakini si ndo maana analipwa millions?

To me, mtu anayestahili nishani ni mtu ambaye amelitumikia taifa katika mazingira magumu ya sacrifice..What has Kimei sacrificed?

Think about it...I dont see anything special Kimei has done. Kwamba aliitoa benki on the brink of collapse? thats exactly what he was hired to do.
umenena mwayego...kwanza ana harufu ya ufisadi. account kadhaa zilifunguliwa siku moja ktk matawi yake yote ya Dsm na ilikuwa sikukuuu...na zilionekana kufuatana namba na kupokea mamillioni ya EPA...alihusika kwa interest binafsi halafu na nishani tumpe lol!!!!hii itakuwa kioja.....kuna tetesi pia kuwa mwenendo wa libank hilo kwa sasa siyo tambarare sana hata hizo hisa zilizokuwa zinauzwa zina lake jambo..
 
Last edited:
Permalink | Mtumie Rafiki Yako | Maoni 6

hoja ya haja juu ya: TANZANITE ACCOUNT YA CRDB


CRDB mmesitisha huduma za Tanzanite Account huku UK kwa sababu ambazo sisi hatuzijui kabisa. Tukiwauliza mawakala wa hapa UK wanadai wao siyo tena. Tukienda ubalozini napo ni taabu. Kwa kweli Mh. Kimei unapoanzisha kitu jaribuni kutazama mbele ili mfahamu matatizo na faida.


Afisa wa Tanzanite Account Jenifer amekuja hapa UK zaidi ya mara nne lakini cha ajabu nothing was done regarding Tanzanite. Alichukua maoni ya clients wote kwamba atakwenda kuyashughulikia lakini hakuna kitu kilichofanyika zaidi ya kusitisha huduma ya Tanzanite kupitia mawakala wake wote hapa UK.


Mlikuwa na mawakala wazuri sana, hasa yule kijana wa Reading ambaye alifanya Tanzanite ikarudi tena kwenye chati kuliko wakati Jennifer ulipokuja hapa UK 2001 ukachukua form bila kuleta majibu.


Huyu bwana alirudisha hadhi ya Tanzanite japokuwa ghafla tukasikia amefukuzwa. Kijana kama huyu alitakiwa kuwa trained ili hata akirudi basi awafanyie kazi. Jenifer na wenzake waulizwe walifanya nini cha maana?

Japokuwa wanadai tumeshindwa ku deposit pesa.


Mh. Kimei badilika ili uwafanyie watanzania kazi siyo sie tukufanyie kazi.

Majibu tunayopewa na wafanyakazi wako siyo mazuri. Yaani kama ungekuwa na facility ya ku-record msg ungesikitika sana na majibu ya wafanyakazi wako.


We need changes to CRDB bank and to all Tanzania. Tunakuomba utujibu maswali haya kupitia kwenye hii Blog ya Jamii.


Pia new website ya crdbbank ni nzuri but inahitaji iwe user friendly kwa wale wasijua copmputer na pia nilipokuwa naipitia nimeona kuna tatizo kwenye option ya Rates ,when you click nothing happened.
Asante

Mdau Achora.
malalamiko haya yako michuzi blog toka jana.kama KIMEI MTENDAJI KASOME maoni huko Michuzi.nakukumbusha pesa zote zilizoibiwa BOT kwa njia ya EPA zilipitishwa CRDB.

bilioni 49 za ukimwi kupitia REGINALD MENGI zilipotea kupitia CRDB hadi leo hajulikani nani alichukua.
Benki makini kama Kenya Commercial Bank ilizuia malipo ya EPA.UMAHIRI WA KIMEI UKO WAPI?
ULIPOONA ANAFANYA MISAFARA YA UK N.K AU KUFANYA HAFLA MBALI MBALI ILIKUWA ANATAKA UGAVANA TOKA AMEUKOSA HUWEZI KUONA KUNA TAMASHA LIMEDHAMINIWA NA CRDB.
ILIKUWA UKIOMUONA JK AU MAMA SALMA BASI KIMEI YUKO KWAPANI.TOKA AKOSE UGAVANA HUONI HATA KUNUNUA MAGAZETI KAMA ZAMANI.
 
Ni muda mrefu sikuweko nchini niliporudi kwa likizo nilishangaa kukuta Benki ya CRDB ambayo niliicha ikiwa ni shirika la umma iliyokuwa hatarini kufa wakati naondoka ikiwa benki imara ya ajabu ambayo ilikuwa na uwezo wa kushindana na mabenki makubwa ya nje kwa huduma za kisasa za kibenki.

Benki ile ingekuwa imekufa na si siri .Nilipouliza ni wazungu gani wameifikisha hapo katika mafanikio yake nikaambiwa hakuna mzungu bali kuna Managing Director Mswahili anaitwa Charles KImei ndiye kaifikisha hapo ilipo.

Huyu kaitoa CRDB iliyokuwa imechoka ikichungulia kaburi hadi hapo ilipo .Sioni sababu ni kwa nini Mtanzania aliyefanya maajabu ya kuifanya iwe ya faida ya kisasa asipewe nishani na Raisi.Ni msomi aliyebaki nchini wa kupigiwa saluti.Wasomi wengi watanzania walipewa mashirika ya UMMA zaidi ya mia nne karibu mia nne yote yamekufa mikononi mwa wasomi hao uchwara yaliyonusurika yamenusurikia mikononi mwa ma-managing directors wageni.CRDB imenusikia mikononi mwa Managing Director Mtanzania ni kwa nini asipewe nishani na Raisi? Kwa maoni yangu napendekeza akumbukwe ni symbol muhimu ya wasomi wa Tanzania kuiga kuwa msomi anayejua kazi yake hata akipewa shirika la umma linalokaribia kufa kama kichwa chake kiko fit na hakusoma kukariri notes na kununua mitihani aweza lifanya lizae faida na likashindana na mashirika ya kimataifa bila woga.
Tatizo lake ni PEDOFIL. Inashangaza sana lakini ndio hivyo. Sasa profesion bila maadili ni kazi bado. siungi mkono kuwa apate nishani, japokuwa naiunga mkono kazi yake ndani CRDB.
 




Tuesday, September 1, 2009
libeneke la tanzanite account ya CRDB

Habari za kazi ndugu Michuzi,
Natumai unaendelea vyema kabisa na shughuli za kila siku.Kuna jambo nataka ushirikiano na wasomaji wa blog ya jamii. Mie ni mwanafunzi na nasoma India. kama inavyojulikana India hawaruhusu kubeba boxi ukiwa denti. Hivyo wengi tunategemea pesa za kujikimu kutoka kwa Wazazi/Walezi ama Wafadhili mbalimbali.

Kuna njia nyingi za kutumiwa pesa lakini wengi tuliona ni muhimu kuwa na account ya Tanzanite(CRDB),mwanzoni nilikuwa nasikia watu wengi wakilalamika kwamba account hii inasumbua, haswa linapokuja swala moja kwamba mtu anaambiwa ame overdraw hivyo account yake ina deni.

Kuna watu wameacha kutumia baada ya kuambiwa wana madeni makubwa wanadaiwa. Je, naomba kuuliza kwenye account kukiwa na millioni 1 bank inaweza kukupa millioni 2? haswa ukifikiria huduma yenyewe tunatumia ni ya Tembocard?

Kwa kawaida viwango vya makato baada ya Transaction huwa vinajulikana lakini kwa bank hii ya CRDB mwisho wa siku mtu unaona maluweluwe na kweli nami wameniambia wananidai hivyo wamekata pesa zote ambazo nilipaswa kupata na bado wanasema nadaiwa 27,000 ya Kitanzania!

Swali muhimu ni hivi Tanzanite account inatakiwa iwe na 5000 rupees ama 100usd na si chini ya hapo?? Je, inakuwaje mtu ana draw pamoja na hizo 5000rupees na zaidi? tuseme machine zina matatizo ama mfumo mzima una matatizo ama wafanyakazi wa CRDB bank wana mbinu zao?

Maana kama mchezo ni huu watakuwa wanatumaliza sie vijana tunaotoka familia za chini. Je wadau tuendelee na Huduma hii ama turejee kwenye West union,money gram ama bank zingine za kimataifa kukwepa hatari hizi?

Mdau aliyelizwa India


© Michuzi | Tuesday, September 01, 2009 | Permalink | Mtumie Rafiki Yako |


Maoni: 24


  • Tarehe Tue Sep 01, 01:37:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    Kimei wafafanulie vijana.

  • Tarehe Tue Sep 01, 02:03:00 PM, Mtoa Maoni:
    b16-rounded.gif
    tzforchange

    KIUHALISI NCHI MASIKINI NA NCHI TAJIRI HUDUMA YA JAMII NI TOFAUTI. MFANO TANZANIA UKIENDA KUPATA HUDUMA OFISI YA SERIKALI AU SHIRIKA LA UMA MUHUDUMU ATAPENDA AKUONGEZEE VIKWAZO ILI UONE UGUMU WA KUPATA HIYO HUDUMA NA INAFIKIA KWAMBA MWANYA WA RUSHWA UNAPATIKANA.NCHI ZILIZO ENDELEA MFANYA KAZI ANAHAKIKISHA ANAMUHUDUMIA MTEJA KWA HAKI NA KWA URAHISI WA HALI YA JUU . AKIKOSEA KIDOGO ANA HAKI YA KUFUKUZWA KAZI. KWAHIYO MPAKA SASA TAZANIA KWA UFANISI WA WAFANYA KAZI IKO NYUMA KIASI KIKUBWA AJABU. KUNA WATANZANIA WANAPESA ZA HAKI WALIO NJE YA NCHI LAKINI HAWARUHUSIWI KUFUNGUA ACCOUNT WAKIWA NJE PESA ZINAPOTEA HIVIHIVI. ZAMBI YETU YA ASILI NIKUONA WATU HAWAFANIKIWI. NAKARIBIA KUNYOOSHA MIKONO TZ4CHANGE INAKUWA NGUMU SANA

  • Tarehe Tue Sep 01, 02:36:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    CRDB hawaruhusu overdraft ila kwa huduma ya visa huwa unaweza ukadraw ukalipwa na visa hlf wenyewe wakati wa settlement usiku akawalipa visa so visa huwa na ile initial balalnce ,sasa kama unaweza kuwatyme unaweza ukadraw benki mbili tofauti at the same tym ukia nje kwa hiyo unapata over drat ila ukija baadae kuweka hela wanakata.Mimi nimesha tumia sana hizo na shukuru siku ya mwisho nataka niwapige overgraft ya paundi 200 system ikagoma ikabidi nibaki kuwa mteja wao hivi hivi ningelamba hiyo ningeingia mitini.siunaju a wabongo kulipa deni ukimkopesha tu anainngia mitini kwa mbongo over draft haifai iwe ulaya au bongo wabongo WEZIby nature

  • Tarehe Tue Sep 01, 02:38:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    nakushukuru sana mdau wa india maana nilikuwa mbioni kumuuliza mzee wa libeneke aende kwa wataalamu wa CRDB aniulizie kama nikichukua pesa kupitia saving account kwa VISA electronic huku india nitakatwa kiasi gani kwa kila nitakapo toa pesa hapa india kwenye benk km icici,citi bank,na benk zingine
    pia nilitaka kujua ni ammount gani wanatumia nikitoa pesa yaani kutoka kwenye madafu kuja kwenye rupees wanatumia kiwango gani? maana pesa huwa inabadilika mara 1rps =27tshs kwahiyo nilitaka kujua hilo kwakuwa kuna ndg zangu wanatumiwa pesa kwenye account yangu na tunapata shida hata tukiangalia exchange rate kwenye net nakuomba sana anko michuzi unisaidie kwa hili
    mdau india hyderabad
    nakupa e-mail yangu kwa jibu jjozzee@yahoo.com

  • Tarehe Tue Sep 01, 03:28:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    Tanzanite account ni wezi kweli,mie nilifunga account yao baada mwezi tu,walikua wanakata hela bila ya ridhaa yangu,muwe macho sana.

  • Tarehe Tue Sep 01, 03:40:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    Doh nashukru kwa hizi comment chAche tu zimenipa mwangaza wa kutokufungua hii account. Tanzania ni moja ya nchi nilioamua kukata tamaa nayo. Hakuna haki kwa chochote kile....Kuna mengi ya kuongea ila hapa si uwanja wake. Asante wadau waliotoa mwangaza kiasi.

  • Tarehe Tue Sep 01, 03:41:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    Michu kwanini usimshute kigogo au mtu wa CRDB ajibu swali hili maana linatusumbua wengi, na mimi niko kwa Obama kila nikicheki balance nakuta imeshuka

  • Tarehe Tue Sep 01, 04:45:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    CRDB Tanzanite account ni matapeli wala msijihusiche nao, Mtapoteza pesa zenu bure, kama unataka kuwapa pesa zako bure basi fungua account nao.

  • Tarehe Tue Sep 01, 05:26:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    mchagga halisi

    ndugu zangu jaribuni kutumia HSBC BANK kutoa hela zenu utakua na uhakika zaidi kama umeliwa au vipi kwa sababu wanaonyesha balance kwa Tshs.so mapema tuu kabla hujatoa utatua iko kiasi gani,pia hawana makato kibao kama bank nyingine.

  • Tarehe Tue Sep 01, 05:35:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    Malengo ya hii akaunti ni mazuri sana. Tatizo kama ilivyo katika mambo mengi Tanzania, hakuna watekelezaji wenye kujua wanachokifanya.

    Hii huduma ingetusaidia sana sisi tulio nje, tena ingetufanya tupeleke hela zaidi nyumbani kuliko ilivyo sasa.

    CRDB wangekuwa na kipeperushi kidogo, kwenye tovuti yao pembeni ya Application Form kinachoelezea Terms & Conditions zote pamoja na Questions & Answers za maswali yote wanayoulizwa na wateja kila siku kuhusu Tanzanite account haya malalamiko yangepungua kwa 99%.

    Ushauri wa Bure kwa Ms Jenifer Tondi na timu yako hapo CRDB.
  • Tarehe Tue Sep 01, 05:53:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    Tumia western union, achana na longolongo za wabongo. Pesa yako inakupa tabu kisa nini?
  • Tarehe Tue Sep 01, 06:19:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    moneygram ndiyo the cheapest way,western union huduma zao ni ghali.
  • Tarehe Tue Sep 01, 07:19:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    Asante mdau wa India kwa kutufahamisha kuhusu Tanzanite Account. Nilikuwa nafikiria kufungua hiyo Account lakini sasa basi.
  • Tarehe Tue Sep 01, 07:20:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    MIMI NIKO CANADA NATUMIA WASOMALI KUTUMA PESA BONGO NA KUJA HUKU HUWEZI KUAMINI JAMAA WAKO SAFI SI MCHEZO.ACHANENI NA HIZO BENKI ZA KIBONGO NI LAANA
  • Tarehe Tue Sep 01, 08:34:00 PM, Mtoa Maoni:
    anon16-rounded.gif
    Anonymous

    E bwana mdau wa India ...bora wewe umepata moyo wa kuirusha hii kwa michuzi!

    Kwanza nchi yetu hatubadiliki ..wao CRDB wanafanya jitihada za kutangaza Tanzanite na kula hela za bure kabisa za wenye Hisa kwa kuwatafuta wateja bila kuweka mipango madhubuti ya kuwatunza...

    Mimi nina hiyo account lakini kwa sababu ya mizengwe nimeshidwa kuanza kuitumia kabisa ..nilikuwa na maswali ambayo yangejibiwa then ningeanza kutumia account yangu lakini jitihada zangu zimekuwa hazizai matunda ikiwa ni pamoja na kumuandikia email Jennifer Ntondi!!

    Swala la mawasiliano nyumbani hata kwa watu wenye exposure na shule zao bado ni tatizo ..kazi umepewa ni kwa nini usiifanye?

    Ngoja nimuulize Jennifer kwa sababu ndi ye mwenye dhamani ya Tanzanite ..em niambie churn rate per month ya TANZANITE...naona inazidi hata subscription rate....

    Em tujifunze ..tuwaelemishe wateje vema ..ili waweze kuweka pesa zao nyumbani kwa maendeleo ya nyumbani!!

    Jamaaaaaaaaani Tanzania tubadilike!! nyakati zile za zamani zimepita ....
    CRDB WE NEED CHANGE NOW!
  • Tarehe Tue Sep 01, 10:04:00 PM, Mtoa Maoni:
    b16-rounded.gif
    WAKUTI

    Asante sana mdau kuleta mada hii. Mimi wameniliza euro 1000 hivi hivi hati hawajui zimeenda wapi. sasa sijui kama bank yenyewe ndo wezi au wafanya kazi ndo wezi. sisahau walivyonisumbua nilipokwenda kuchukua pesa pale azikiwe yaani mpaka nimeenda kuongea na manager ndo wakanipa huku euro 1000 zikiyeyuka kisha wamebakiza euro 100 kama balance nami nimewaachia sitoweka pesa kwao tena hawa jamaa.
 
Tanzania tuna watu wengi wenye uwezo lakini tatizo ni ubinafsi. Kimei ni fisadi mkubwa sana kiasi kwamba kila mkopo mkubwa ni lazima utoe chochote. Ingekuwa anafanya bei za nje asingeweza kuiba kitoto hivyo. Raisi hawezi kumpa medali mtu ambaye anajua ni fisadi.
 
Kwa Mtoa hoja:
CRDB facilitated to open a huge Letter of Credit to HSBC on dubious Richmond deal, Mr. Kimei and CRDB were warned by CITI Bank that the LC was not proper and the beneficiary of the LC was not a calibre company; but after being refused from CITI he continued to HSBC.

He knew what he was doing after all these warnings! How can he be your hero?? He is among the facilitators of the USA Dollars 170,000,000 on Richmond scandal!!!!
 
Ni muda mrefu sikuweko nchini niliporudi kwa likizo nilishangaa kukuta Benki ya CRDB ambayo niliicha ikiwa ni shirika la umma iliyokuwa hatarini kufa wakati naondoka ikiwa benki imara ya ajabu ambayo ilikuwa na uwezo wa kushindana na mabenki makubwa ya nje kwa huduma za kisasa za kibenki.

Benki ile ingekuwa imekufa na si siri .Nilipouliza ni wazungu gani wameifikisha hapo katika mafanikio yake nikaambiwa hakuna mzungu bali kuna Managing Director Mswahili anaitwa Charles KImei ndiye kaifikisha hapo ilipo.

Huyu kaitoa CRDB iliyokuwa imechoka ikichungulia kaburi hadi hapo ilipo .Sioni sababu ni kwa nini Mtanzania aliyefanya maajabu ya kuifanya iwe ya faida ya kisasa asipewe nishani na Raisi.Ni msomi aliyebaki nchini wa kupigiwa saluti.Wasomi wengi watanzania walipewa mashirika ya UMMA zaidi ya mia nne karibu mia nne yote yamekufa mikononi mwa wasomi hao uchwara yaliyonusurika yamenusurikia mikononi mwa ma-managing directors wageni.CRDB imenusikia mikononi mwa Managing Director Mtanzania ni kwa nini asipewe nishani na Raisi? Kwa maoni yangu napendekeza akumbukwe ni symbol muhimu ya wasomi wa Tanzania kuiga kuwa msomi anayejua kazi yake hata akipewa shirika la umma linalokaribia kufa kama kichwa chake kiko fit na hakusoma kukariri notes na kununua mitihani aweza lifanya lizae faida na likashindana na mashirika ya kimataifa bila woga.



Tuache kuwahusudu wazungu, nimefanya nao kazi nchi mbalimbali na bado nafanya nao kazi, perfomance yao ni kawaida na sio exceptional.

Kimei anatimiza wajibu wake, kama ikipewa nishani kwa kufanya kazi yake basi watanzania mamilioni watastahili kupewa.
 
Ukweli ni kwamba kwa sasa hakuna benki inayoboa kama crdb. huyu kimei benki imemshinda kuiendesha, imejawa na rushwa za kijinga, kuanzia kuwezesha wizi wa EPA hadi wa mteja mdogo. Inabidi jambo lifanyike kuinusuru benki hiyo la sivyo itawaliza wateja wake muda si mrefu. Hivyo sioni sifa anazostahili huyu kimei
 
mr. kimei pamoja na mazuri yake lakini ni mkabila sana hii CRDB imejaa wachaga tu kuanzia tellers, managers hadi walinzi ajirekebishe kwa hilo n\ pia atm charges zao zipo juu sana ni aghari mbona nmb ni buree.
 
Haya mpambe umefungua cane of worns sasa, ulidhani unamjenga kumbe una mharibia!

Kweli upambe nuksi!
 
Tanzania tuna watu wengi wenye uwezo lakini tatizo ni ubinafsi. Kimei ni fisadi mkubwa sana kiasi kwamba kila mkopo mkubwa ni lazima utoe chochote. Ingekuwa anafanya bei za nje asingeweza kuiba kitoto hivyo. Raisi hawezi kumpa medali mtu ambaye anajua ni fisadi.

Kwanza sio kweli kabisa kwamba Kimei peke yake amefanya kazi nzuri pale CRDB. Mtoa hoja ansema alipokwenda aliiacha CRDB inachungulia kaburi. Ni kweli lakini nani hasa aliitoa benki hiyo ICU. Si ni DANIDA? DANIDA ni shirika la misaada ya nje ya Denmark na waliwekeza katika katika CRDB mtaji na watalaam toka Denmark. Kimei ni MD lakini juu yake kuna Board na chini yake kuna wataalam hasa toka nje ya nchi ambao wameifikisha CRDB hapo ilopo. Hii haimanishi kwamba watanzania wazawa hawajashiriki vilivyo, la hasha. Wamechangia kiasi chao vile vile.

Tukurudi kwa Kimei kama meneja ni mmoja wapo wa watu ambao Rais alifikiria kumpa Ugavana BoT ( from a reliable source) badala ya Balali kufariki. Inasemekana Usalama wa Taifa ukamshauri Rais vinginenvyo.
Kwa mtazamo wangu Kimei akipewa nishani kama yeye italeta utata maana uongozi ni zaidi ya kutengeneza faida. What about ethics?
 
Tafadhali usilete habari za kumsifia Kimei hapa. Hana lolote yule. Apate nishani ya nini wakati analipwa heavily (more than 12m) bado marupurupu ni lazima ahenyeke asijilinganishe na ofisa mwingine wa umma anayelipwa 300,000.

CRDB yenyewe ni madudu matupu, huduma mbovu, bank charges kibao. Ni mafisadi wengine tu hawa wanamaliza fedha za walala hoi ndani ya account zao. Interest rates kwa savings aina zote ndogo kuliko mabenki yote hapa Tz na kwa mkopo juu kuliko yote. Bank haina uzalendo kabisa ile, ni wanyonyaji tuu.

Halafu kwanza aache tabia yake ya kukumbatia baadhi ya wafanyakazi, kuwapa vyeo na mishahara kuwaongezea bila kufuata taratibu za kiutawala na rasilimali watu. Du ninafahamu mno mengi, naomba nikome hapa nisimvue nguo. He is worse!!!
 
Kimei anajitahidi lakini amezungukwa na washauri wa Danida. Lakini tuangalie another angle, kwani CRDB ni benki ya kizalendo per se? au tunachanganya na lile jina la zamani la COOPERATIVE AND RURAL DEVELOPMENT BANK (CRDB 1984) au kwa kiswahili benki ya Ushirika na Maendeleo Vijijini. Sasa hivi the major shareholder wa CRDB Bank Ltd ni private individuals na Danida. Private individuals ni mchanganyiko wa foreigners na locals.
Sasa uzalendo wake una mashaka.
lakini vilevile ni private bank kama zilivyo zingine! kwahiyo mtoa hoja anataka na CEO wa private banks ambao ni watanzania wapewe nishani na Rais? tuna CEOs wengi tu wa mabenki ambao ni wazalendo, TIB, Stanbic, Barclays, Kenya Commercial Bank, CBA etc wote waitwe ikulu wakapewe nishani. labda kama ilikuwa ni njia ya kutafuta na kutaka kujua watu wanasemaje kuhusu Kimei. Amefanya vizuri lakini alikuwa anatekeleza wajibu wake. hajatokea mahali pa ajabu kabla ya kuja CRDB! alikuwa Benki Kuu. Anasadikika kufahamu mambo ya EPA na Richmond. Amejenga mahekalu yake ambayo hata yakivamiwa na majambazi na kuibiwa hathubutu kwenda polisi kama alivyofanya hapo nyuma. Ana element za ukabila na vilevile ni mkware
CRDB Bank Stock Ownership
Rank Name of Owner Percentage Ownership
1 Private Individuals 37.0
2 DANIDA 30.0
3 Tanzania Cooperatives 14.0
4 Tanzania Institutions 10.2
5 Government of Tanzania Parastatals 8.8
6 TOTAL 100.0
 
Haya mpambe umefungua cane of worns sasa, ulidhani unamjenga kumbe una mharibia!

Kweli upambe nuksi!

Ni kweli, jamaa kamwanika na wadau wamemuvua nguo. Lol!

Kwa sehemu kubwa success za CRDB ni kwa sababu ya Wa-Danish. Hata NMB nayo inaongozwa na Waholanzi.

Watanzania wakiachiwa kila kitu huwa hakidumu wanaiba na kuua miradi. Wameua TRC, Wameua ATC, wameua National Milling, ukaanzishwa mradi wa mabasi ya wanafunzi DAR watu wakala pesa mradi ukafa etc. Nasikia ATC watu walikuwa wanasafiri DAR-London-DAR na kwingineko kwa "vimemo" kutoka kwa wakubwa. Hapo biashara itafanikiwaje?
 
Tafadhali usilete habari za kumsifia Kimei hapa. Hana lolote yule. Apate nishani ya nini wakati analipwa heavily (more than 12m) bado marupurupu ni lazima ahenyeke asijilinganishe na ofisa mwingine wa umma anayelipwa 300,000.

CRDB yenyewe ni madudu matupu, huduma mbovu, bank charges kibao. Ni mafisadi wengine tu hawa wanamaliza fedha za walala hoi ndani ya account zao. Interest rates kwa savings aina zote ndogo kuliko mabenki yote hapa Tz na kwa mkopo juu kuliko yote. Bank haina uzalendo kabisa ile, ni wanyonyaji tuu.

Halafu kwanza aache tabia yake ya kukumbatia baadhi ya wafanyakazi, kuwapa vyeo na mishahara kuwaongezea bila kufuata taratibu za kiutawala na rasilimali watu. Du ninafahamu mno mengi, naomba nikome hapa nisimvue nguo. He is worse!!!
kwanza sio mbongo ni MKENYA hana machungu na hii nji,apewe nishani kwa wizi na ufisadi?kuna dola 100,000 ilipigwa pale CRDB asubuhisubuhi kimyakimya inasemekana yeye ndo alichonga mchongo kuwapa jamaa,na jamaa baada ya kupiga hiyo hela walienda kuhifadhiwa kenya mpaka soo liishe,haya na kuwepo kwenye group yao ya uzinzi G8 nafikiri nako apewe nishani,we uliyeleta hii mada naona unafadhiliwa vibiabia baa unaleta utumbo hapa,hafagiliwi mtu acha njaa
 
Tatizo lake ni PEDOFIL. Inashangaza sana lakini ndio hivyo. Sasa profesion bila maadili ni kazi bado. siungi mkono kuwa apate nishani, japokuwa naiunga mkono kazi yake ndani CRDB.


Unless una ushahidi na hili la pedophile kuna tofauti ya kupenda totoz na kuchukua watoto wadogo. Tatizo madada wanajipelekaga wenyewe kwa watu wenye nazo, maarufu na mastaa, nchi zilizoendelea wanajipeleka kisha wanadai wamebakwa ili wanufaike kifedha.

Kama Dr. Kimei amebadilika na kuwa fisadi basi hii inasikitisha na kushangaza, the Dr. Kimei most people know ni yule mchumi aliyekuwa amebobea wa BOT na mpiga mzigo kiasi cha kupelekea kupewa CRDB aiokoe.
 
Hakuna haja ya nishani kwa kimei, labda nishani ya ufisadi uliotukuka hasa. Huyu jamaa kwa wasiomfahamu watasema mtu, kumbe wapi!ana kawaida ya kujimeagea mikopo isiyo na riba, ukabila umekithiri na maovu mengi tu yaliyomzunguka, hafai hata kuwa teller!!!
 
Back
Top Bottom