Tumia akili
Member
- Apr 1, 2013
- 66
- 1,165
- Thread starter
- #41
Mkuu hapo wale wa kwenda inside wameshaelewa.. ni muhimu ikibakia hivi.Dadavua tu Mkuu wa kikosi, hapa ndio mahala pake.
Mkuu hapo wale wa kwenda inside wameshaelewa.. ni muhimu ikibakia hivi.Dadavua tu Mkuu wa kikosi, hapa ndio mahala pake.
Mkuu mimi sihusiki kupanga wala kutekeleza, ni mwonaji tu.Endelea kutukana ila najua hutokuepo jamaa akiwekwa kati, ndio maana namtahadharisha kutokuwasikiliza watu kama wewe.
Hata mimi sijajua
Nimekupata mkuu.Mkuu mimi sihusiki kupanga wala kutekeleza, ni mwonaji tu.
Mimi sikupingi wala kukataa niko 50/50 mpaka nione mwisho wake.Mkuu mimi sihusiki kupanga wala kutekeleza, ni mwonaji tu.
DuhWakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Duh!..Wakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
....Tumia akili mkuu..hakuna kitu kama hicho.Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
What does this suppose to mean?!
Majitu machawiWakuu,
Mwaka 1973 Spiro Agnew alijiuzulu nafasi ya makamu wa Rais wa Marekani kufuatia skendo ya rushwa na matumizi mabaya ya ofisi ikiwemo kukwepa kodi alikofanya wakati ni governor wa Maryland. Rais Richard Nixon akamteua Gerald Ford kuchukua nafasi yake.
August ya mwaka 1974, Rais Richard Nixon alijiuzulu kufuatia skendo ya Watergate. Hapo ikabidi makamu wa Rais, bwana Gerald Ford aapishwe kuwa Rais wa Marekani.
Unaweza kuona jinsi Ford alivyokuwa na bahati. Hakuwahi kugombea umakamu wa Rais au Urais wenyewe lakini alishika vyeo vyote hivyo kwa nyakati tofauti zinazofuatana.
Nimeandika hii habari kuonyesha yanayokuja soon.
Endelea kusubiri!
Nyani Ngabu .Mkuu kuna operation imeshapewa next stage.. 'execute'.. itakuwa mixed feelings kwa wengi.
Bwana Kunguru usisahau tena kuwa "wakati ni ukuta"...hamna lolote mbwembwe tu