Kumbe alikuwa anazindua nini? Au shughuli hiyo ilikuwa kwa ajili ya kumpokea "mpigaji " Tabasamu?Hakusema umekamilika 100% rudia hotuba yake vzuri.
Kumbe alikuwa anazindua nini? Au shughuli hiyo ilikuwa kwa ajili ya kumpokea "mpigaji " Tabasamu?Hakusema umekamilika 100% rudia hotuba yake vzuri.
Oooo, ile ile.Ni ile ile
Hebu tuwekee picha maji yakitiririka Mkuu.Uongo haukusaidii utajivunjia hekima bure mkuu
Bomba kutoa maji ya kuzindulia ni kitu kidogo sana, jaza maji tank dogo la lita 200 kwenye nyumba ya jirani kisha elekeza bomba kwenye eneo husika.Hivi inawezekana vipi uzinduzi wa mradi wa maji usiwe na bomba linalotoa maji na watu wakashuhudia?
Acha upumbavu kama huishi sengerema funga domo lakoHivi inawezekana vipi uzinduzi wa mradi wa maji usiwe na bomba linalotoa maji na watu wakashuhudia?
Tuwekee kavideo ukiwa huko ukiwa umefungulia bomba basi.. Maana wengine tumeshaamini etiUongo haukusaidii utajivunjia hekima bure mkuu
Aisee kweli ccm ni ileile
Ripoti za kamati za maprofesa wa makinikia zimefungiwa kwenye sefu ya Ikulu! Siri ya Rais! Tunasubiri Noah zetu nyeusi!!Huyo mzinduaji mwenyewe ni muongo mkubwa kwanini asidanganywe??
Vijana mmeishiwa hoja....huko Sengerema hujawahi kufika yaani mnadanganyana humu...Kuna mtu alinistua kwamba hata mzinduaji alijua anazindua hewa , ila aliamua kuwadanganya WALA MAPANKI , maana taarifa zinadokeza kwamba ni wepesi sana kushangilia hata madudu ili mradi mtoa madudu hayo awe wa KUNYUMBA .