Rais alisoma hotuba kwa kutumia kifaa kiitwacho TELEPROMPTER

TELEPROMPTER:
Hii ni technolojia ilio anzia nchini marekan kwenye miaka ya hasmini na imekua maarufu sana nyakati za siku zetu!
Viongozi wengi na wasanii ktk fani ya maigizo kwa wale wenye script ndeefu hutumia tech hii.

Mfano wa marais ni obama hutumia utaalam huu wakati wa kutoa hotuba zao.

Nimeona niwajuze wenzangu kua watu wengi huwa wanadhani zile huge public speeches hutolewa kichwani,hapana watu wanatumia mfumo huu.
Mpaka hata hotuba ya rais jana bungeni aliitumia njia hii na baadhi ya watu bado wanajua alikua akitoa kichwani mwake.

N.B. (my view) Jk Nyerere ndio kiongozi pekee kwa afrika aliekua anaweza kuto hotuba nzuri na bila kuandika kabla.
Wengine woote ni written b4 speaking....

Teleprompter - Wikipedia, the free encyclopedia

TelePropmter.jpg

Akhsante mkuu, Nimeelimika.
 
Hiki kifaa kinstumika hata ktk usomaji Wa habari...wale walio au wanafanya kazi TV house hasa new wanakijua hiko kifaa
 
Hoja yako ni nini sasa? Kikwete kama Obama au nini unataka kusema wabongo bana.
 
Hoja yako ni nini sasa? Kikwete kama Obama au nini unataka kusema wabongo bana.

Wewe umeelewa nini?
mbona unapenda kuwaona wabongo kama hawana akili,..aya wewe mwenzetu ni mzungu nini?
 
Nilijaribu kuwaelewesha baadhi ya watu niliokuwa nimekaa nao ikashindikana kabisa kueleweka japo nami nilisahau jina lakini hotuba ya masaa mawili inayohitaji fact Kama yake Sio rahisi kutoa kichwani tu unaweza kusahau point au kuongeza maneno yasiyotakiwa so alitumia hiyo kitu hata ukiangali body movement yake ilikuwa ya aina moja so alitumia.
 
Hotuba ya Rais ilikuwa ni sauti ya Mungu; serikali tatu HAPANA! Period. Amini usiamini. Kwa kuwa sisi kama viumbe hatujui hata dakika ijayo itakuwaje sembuse serikali tatu? hata ikipambwa vipi?
 
Yaani ww roho inakuuma JK alipohutubia bila kusoma? JK genius.
Mambo Mengine bwana, yani wa Tanzania wabishi sabau ya kuchelewa kujua teknolojia, huyo kitu kila siku anatumia na pia Obama anatumia , viongozi wote wakubwa duniani wanatumia hiyo sababu ya kuzingaia muda kwa speech wanazo takiwa kuzitoa.
 
Mambo Mengine bwana, yani wa Tanzania wabishi sabau ya kuchelewa kujua teknolojia, huyo kitu kila siku anatumia na pia Obama anatumia , viongozi wote wakubwa duniani wanatumia hiyo sababu ya kuzingaia muda kwa speech wanazo takiwa kuzitoa.

Mm mkali sana. Hiyo technolojia haipo hapo
 
Back
Top Bottom