tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,122
- 534
Aliyasema hayo alipokuwa anafunga mafunzo ya uchunguzi wa maafisa wa sheria.
Alikuwa ana maanisha nini?
Ni watumishi gani hao wa serikali au wa vyama vya upinzani?
Na wakikamatwa wa serikali atawafanya nini?
Na nani zaidi ya Liumba walio wahi kushitakiwa?
Hizo ni kawaida ya mroropokaji.hakuna jipya
Alikuwa ana maanisha nini?
Ni watumishi gani hao wa serikali au wa vyama vya upinzani?
Na wakikamatwa wa serikali atawafanya nini?
Na nani zaidi ya Liumba walio wahi kushitakiwa?
Hizo ni kawaida ya mroropokaji.hakuna jipya