Nimetafakari kwa kina kuwa Mh.SITA anaweza kulibadilisha JESHI LA POLISI likawa la VIWANGO na KASI ZAIDI kwa kuzingatia UTAWALA wa SHERIA badala ya NGUVU NYINGI ambazo zinaligharimu taifa na kupoteza nguvu kazi kwa mauaji ya kiholela.Tumechoka kuhujumiwa na JESHI LA POLISI kwa kukosa viongozi makini.Mh.SITA ukipata fursa hii itumie vizuri ili tuweze kutoka katika mateso na njama za ukatili ndani ya TAIFA letu.