Rais akahutubie juu ya Hali ya Ugaidi na kundi la kigaidi Tanzania linaloongozwa na Mbowe na walinzi wake lilivyo hatari kwa usalama wa dunia

Hali ya Ugaidi duniani NI Ajenda muhimu kwenye mkutano wa Baraza la ulinzi la umoja wa mataifa.

Naomba Raisi wetu atakapohutubia Baraza Hilo aelezee pia juu ya kundi hatari zaidi la kigaidi Tanzania ambalo bado halijapatiwa jina lenye watu wanne ili dunia ilijue na ikabiliane nao.

Kundi Hilo linaloongozwa na Mbowe na lenye watu wanne likiwa na silaha hatari ambazo NI bastola moja na risasi nne pia linajihusisha na dawa za kulevya kwani linamiliki kete nyingi mno Kama 83 za heliam. Pia lilipokea ufadhili wa Dola 265 kutoka kwa Kiongozi wao.

Pia NI Vyema dunia iambiwe na ijue kabisa washirika wa kundi Hilo duniani kwani kwa kawaida makundi ya ugAidi duniani hushirikiana na kupeana ufadhili Kama ilivyo kwa ISS, Al shabab, Alqaida na boko haramu.

Pia matukio ya Ugaidi ambayo limewahi kufanya dunia iyajue ili wanaolimtetea waumbuke.

Pia dunia ijuzwa malengo ya kundi husika NI Nini haswa. NI ya kidini au?


Naomba tu ukatwe mzizi wa fitina wabishi waumbuke tarehe 23/ 09.
😆 😆 😆
 
Leo usiku wa manane nimeota kuwa kuna Paka fulani litahutubia huko UN leo kutoka nchi fulani ya Corona wa kwenye mapapai na oil.
 
Hali ya Ugaidi duniani NI Ajenda muhimu kwenye mkutano wa Baraza la ulinzi la umoja wa mataifa.

Naomba Raisi wetu atakapohutubia Baraza Hilo aelezee pia juu ya kundi hatari zaidi la kigaidi Tanzania ambalo bado halijapatiwa jina lenye watu wanne ili dunia ilijue na ikabiliane nao.

Kundi Hilo linaloongozwa na Mbowe na lenye watu wanne likiwa na silaha hatari ambazo NI bastola moja na risasi nne pia linajihusisha na dawa za kulevya kwani linamiliki kete nyingi mno Kama 83 za heliam. Pia lilipokea ufadhili wa Dola 265 kutoka kwa Kiongozi wao.

Pia NI Vyema dunia iambiwe na ijue kabisa washirika wa kundi Hilo duniani kwani kwa kawaida makundi ya ugAidi duniani hushirikiana na kupeana ufadhili Kama ilivyo kwa ISS, Al shabab, Alqaida na boko haramu.

Pia matukio ya Ugaidi ambayo limewahi kufanya dunia iyajue ili wanaolimtetea waumbuke.

Pia dunia ijuzwa malengo ya kundi husika NI Nini haswa. NI ya kidini au?


Naomba tu ukatwe mzizi wa fitina wabishi waumbuke tarehe 23/ 09.
You made my day bro
 
Back
Top Bottom