Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,662
- 26,113
Wapi dharau?Una dharau Sana sababu tu hujui unalofanya.
Toa hoja kujibu hoja. Jadili kistaarabu tu.
Wapi dharau?Una dharau Sana sababu tu hujui unalofanya.
Toa hoja kujibu hoja. Jadili kistaarabu tu.
Ulimaanisha Nini hapaBado unachambua karanga mpaka leo?
😆 😆 😆Hali ya Ugaidi duniani NI Ajenda muhimu kwenye mkutano wa Baraza la ulinzi la umoja wa mataifa.
Naomba Raisi wetu atakapohutubia Baraza Hilo aelezee pia juu ya kundi hatari zaidi la kigaidi Tanzania ambalo bado halijapatiwa jina lenye watu wanne ili dunia ilijue na ikabiliane nao.
Kundi Hilo linaloongozwa na Mbowe na lenye watu wanne likiwa na silaha hatari ambazo NI bastola moja na risasi nne pia linajihusisha na dawa za kulevya kwani linamiliki kete nyingi mno Kama 83 za heliam. Pia lilipokea ufadhili wa Dola 265 kutoka kwa Kiongozi wao.
Pia NI Vyema dunia iambiwe na ijue kabisa washirika wa kundi Hilo duniani kwani kwa kawaida makundi ya ugAidi duniani hushirikiana na kupeana ufadhili Kama ilivyo kwa ISS, Al shabab, Alqaida na boko haramu.
Pia matukio ya Ugaidi ambayo limewahi kufanya dunia iyajue ili wanaolimtetea waumbuke.
Pia dunia ijuzwa malengo ya kundi husika NI Nini haswa. NI ya kidini au?
Naomba tu ukatwe mzizi wa fitina wabishi waumbuke tarehe 23/ 09.
Nilimaanisha kuchambua karanga.Ulimaanisha Nini hapa
So hutaki ugaidi wa Mbowe ujulikane?Upuuzi mtupu.
Ujulikane mara ngapi?So hutaki ugaidi wa Mbowe ujulikane?
Unataka point zipi?Huna point
Duh mkuu huu moto wako balaaaHuyu mama wala si wa kutoka naye jasho, Mungu alimweza Jiwe a.k.a bichwa panzi atamshindwa huyu?
Duh mkuu huu moto wako balaaa
You made my day broHali ya Ugaidi duniani NI Ajenda muhimu kwenye mkutano wa Baraza la ulinzi la umoja wa mataifa.
Naomba Raisi wetu atakapohutubia Baraza Hilo aelezee pia juu ya kundi hatari zaidi la kigaidi Tanzania ambalo bado halijapatiwa jina lenye watu wanne ili dunia ilijue na ikabiliane nao.
Kundi Hilo linaloongozwa na Mbowe na lenye watu wanne likiwa na silaha hatari ambazo NI bastola moja na risasi nne pia linajihusisha na dawa za kulevya kwani linamiliki kete nyingi mno Kama 83 za heliam. Pia lilipokea ufadhili wa Dola 265 kutoka kwa Kiongozi wao.
Pia NI Vyema dunia iambiwe na ijue kabisa washirika wa kundi Hilo duniani kwani kwa kawaida makundi ya ugAidi duniani hushirikiana na kupeana ufadhili Kama ilivyo kwa ISS, Al shabab, Alqaida na boko haramu.
Pia matukio ya Ugaidi ambayo limewahi kufanya dunia iyajue ili wanaolimtetea waumbuke.
Pia dunia ijuzwa malengo ya kundi husika NI Nini haswa. NI ya kidini au?
Naomba tu ukatwe mzizi wa fitina wabishi waumbuke tarehe 23/ 09.
Ndio ushaidi uliopo na NI silaha hatari sanaEti gaidi ana bastola moja na dola 250 duh!!!! Hiii ni kiboko
Kwani amekugusa au kukosa kujiamini tu, kama umejihifadhi kichakani.Acha kuandika upuuzi.
Acha kuandika upuuzi.Kwani amekugusa au kukosa kujiamini tu, kama umejihifadhi kichakani.