Rais ajiuzulu, huduma ya kununua LUKU imekwama tena leo Juni 20, 2021

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Apr 12, 2018
2,508
4,213
Kwakweli sijawahi kupata hasara katika biashara zangu kama hizi ninazopata tangu awamu hii iingie madarakani!

Leo mimefungua saluni kama kawaida siku ya jumapili wateja ni wengi.Haraka nikasema ninunue umeme niwahudumie lakini nimejaribu zaidi ya mara 10 imeshindikana!

Kwakweli pamoja na kuwa nilikuwa na mpiga vita Magufuli lakini hali hii sijawahi kuona! Kwakweli kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa! Kwa hali hii ni wazi kwamba Rais ameshindwa kazi na ameonyesha udhaifu kwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika! Akiwa kama kiongozi mkuu wa nchi jambo hili halikupaswa kujirudia tena kwa mara ya pili na hii inaonyesha alishindwa kuchukua hatua hapo awali na sasa ni vyema akajiuzulu tupate kiongozi mwingine!

Mbaya zaidi tunaoathirika ni sisi raia wanyonge.Kwa hali hii serikali imeshindwa kazi na haina uwezo wa kusimamia kazi zake hivyo tunaomba iondoke!!

Hawa ni wengine pia wamekumbwa na kadhia hii

 
seriously yaani rais ajiuzulu sababu ya technical problems za umeme na wewe kupata hasara kwenye saluni yako?
WTH au unadhani mama samia ndio anashika spana?

Haya ndio madhara ya kutumia nguvu badala ya akili, yaani ni kama ukiwasimamisha kazi basi miraculously mambo yanakaa sawa.
 
Mtoa mada fuatilia ni hili tatizo ni mtaani kwako? au ni mkoa mzima,au ni nchi nzima maana unaweza kuonekana wewe ndio kituko!!
Sababu za kukatika umeme zipo nyingi:
1.Hitilafu ya mitambo
2.Hitilafu ya njia ya umeme
3.Matengenezo ya njia ya umeme
4.Matengenezo ya mitambo
5.Matengenezo ya dharura
Katika yote haya,labda ulaumu kutopata taarifa mapema ili ujipange namna ya kuhudumia wateja wako bila umeme wa TANESCO,kwa muda na masaa gani wakati unasubiria kurudi kwa umeme wa TANESCO.
 
Kwakweli sijawahi kupata hasara katika biashara zangu kama hizi ninazopata tangu awamu hii iingie madarakani!

Leo mimefungua saluni kama kawaida siku ya jumapili wateja ni wengi.Haraka nikasema ninunue umeme niwahudumie lakini nimejaribu zaidi ya mara 10 imeshindikana!

Kwakweli pamoja na kuwa nilikuwa na mpiga vita Magufuli lakini hali hii sijawahi kuona! Kwakweli kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa! Kwa hali hii ni wazi kwamba Rais ameshindwa kazi na ameonyesha udhaifu kwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika! Akiwa kama kiongozi mkuu wa nchi jambo hili halikupaswa kujirudia tena kwa mara ya pili na hii inaonyesha alishindwa kuchukua hatua hapo awali na sasa ni vyema akajiuzulu tupate kiongozi mwingine!

Mbaya zaidi tunaoathirika ni sisi raia wanyonge.Kwa hali hii serikali imeshindwa kazi na haina uwezo wa kusimamia kazi zake hivyo tunaomba iondoke!!

Huna Jenereta?
Lazima uwe na Plan B
 
Kwakweli sijawahi kupata hasara katika biashara zangu kama hizi ninazopata tangu awamu hii iingie madarakani!

Leo mimefungua saluni kama kawaida siku ya jumapili wateja ni wengi.Haraka nikasema ninunue umeme niwahudumie lakini nimejaribu zaidi ya mara 10 imeshindikana!

Kwakweli pamoja na kuwa nilikuwa na mpiga vita Magufuli lakini hali hii sijawahi kuona! Kwakweli kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa! Kwa hali hii ni wazi kwamba Rais ameshindwa kazi na ameonyesha udhaifu kwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika! Akiwa kama kiongozi mkuu wa nchi jambo hili halikupaswa kujirudia tena kwa mara ya pili na hii inaonyesha alishindwa kuchukua hatua hapo awali na sasa ni vyema akajiuzulu tupate kiongozi mwingine!

Mbaya zaidi tunaoathirika ni sisi raia wanyonge.Kwa hali hii serikali imeshindwa kazi na haina uwezo wa kusimamia kazi zake hivyo tunaomba iondoke!!
TULIENI SASA,Mlimtukana sana mzee wa watu.
 
Kwakweli sijawahi kupata hasara katika biashara zangu kama hizi ninazopata tangu awamu hii iingie madarakani!

Leo mimefungua saluni kama kawaida siku ya jumapili wateja ni wengi.Haraka nikasema ninunue umeme niwahudumie lakini nimejaribu zaidi ya mara 10 imeshindikana!

Kwakweli pamoja na kuwa nilikuwa na mpiga vita Magufuli lakini hali hii sijawahi kuona! Kwakweli kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa! Kwa hali hii ni wazi kwamba Rais ameshindwa kazi na ameonyesha udhaifu kwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika! Akiwa kama kiongozi mkuu wa nchi jambo hili halikupaswa kujirudia tena kwa mara ya pili na hii inaonyesha alishindwa kuchukua hatua hapo awali na sasa ni vyema akajiuzulu tupate kiongozi mwingine!

Mbaya zaidi tunaoathirika ni sisi raia wanyonge.Kwa hali hii serikali imeshindwa kazi na haina uwezo wa kusimamia kazi zake hivyo tunaomba iondoke!!
Pole sana tatizo waandamizi wana vitambi km maboga, na vijana wao wako hopeless wakija kufanya line inspection kazi ni matusi tu mtaani na kutongoza kila mdada wanayemuona! Hili tatizo n kubwa sana hao wanaokushambulia huenda wengi wao wameajiriwa hawajui hustle za mtaa jinsi znavyotegemea umeme
 
We unafikiri rais ni mwenyekiti wa kijiwe Cha bodaboda siyo
 
Mtoa mada fuatilia ni hili tatizo ni mtaani kwako? au ni mkoa mzima,au ni nchi nzima maana unaweza kuonekana wewe ndio kituko!!
Sababu za kukatika umeme zipo nyingi:
1.Hitilafu ya mitambo
2.Hitilafu ya njia ya umeme
3.Matengenezo ya njia ya umeme
4.Matengenezo ya mitambo
5.Matengenezo ya dharura
Katika yote haya,labda ulaumu kutopata taarifa mapema ili ujipange namna ya kuhudumia wateja wako bila umeme wa TANESCO,kwa muda na masaa gani wakati unasubiria kurudi kwa umeme wa TANESCO.
Hujaelewa mkuu. Hajasema umeme umekatika anachosema ameishiwa umeme anataka kununua anashindwa kwa sababu ya mtandao.
 
TULIENI SASA,Mlimtukana sana mzee wa watu.
Kwakweli NINAJUTA sana! Kuna wengi humu wanasema hili swala la system ya LUKU halimuhusu Rais lakini kwakweli kama ingekuwa ni awamu ya tano basi lawama zote wangempa Magufuli na angezibeba zote lakini kwa kuwa kuna siasa na chuki binafsi basi wanaukingia kifua uongozi uliopo na kuingiza siasa! Mbaya zaidi tunaoumia ni sisi wanyonge! Hali hii haikubaliki
 
Kwakweli sijawahi kupata hasara katika biashara zangu kama hizi ninazopata tangu awamu hii iingie madarakani!

Leo mimefungua saluni kama kawaida siku ya jumapili wateja ni wengi.Haraka nikasema ninunue umeme niwahudumie lakini nimejaribu zaidi ya mara 10 imeshindikana!

Kwakweli pamoja na kuwa nilikuwa na mpiga vita Magufuli lakini hali hii sijawahi kuona! Kwakweli kutenda kosa sio kosa bali kurudia kosa! Kwa hali hii ni wazi kwamba Rais ameshindwa kazi na ameonyesha udhaifu kwa kushindwa kuwachukulia hatua wahusika! Akiwa kama kiongozi mkuu wa nchi jambo hili halikupaswa kujirudia tena kwa mara ya pili na hii inaonyesha alishindwa kuchukua hatua hapo awali na sasa ni vyema akajiuzulu tupate kiongozi mwingine!

Mbaya zaidi tunaoathirika ni sisi raia wanyonge.Kwa hali hii serikali imeshindwa kazi na haina uwezo wa kusimamia kazi zake hivyo tunaomba iondoke!!
Mkuu mbona huku kwetu tunanunua tu hakuna shida ya mtandao?
 
Mtoa mada fuatilia ni hili tatizo ni mtaani kwako? au ni mkoa mzima,au ni nchi nzima maana unaweza kuonekana wewe ndio kituko!!
Sababu za kukatika umeme zipo nyingi:
1.Hitilafu ya mitambo
2.Hitilafu ya njia ya umeme
3.Matengenezo ya njia ya umeme
4.Matengenezo ya mitambo
5.Matengenezo ya dharura
Katika yote haya,labda ulaumu kutopata taarifa mapema ili ujipange namna ya kuhudumia wateja wako bila umeme wa TANESCO,kwa muda na masaa gani wakati unasubiria kurudi kwa umeme wa TANESCO.
Sio umeme kukatika mkuu bali umeme haununuliki kupitia mfumo wa LUKU nimejaribu mara nyingi umegoma, Mpaka wateja wameondoka!
 
Back
Top Bottom