britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 30,000
Kuna maeneo nimesikia sikia maneno ambayo yanahusu urais wa zanzibar ujao, maana Shein anamaliza mda wake,
Wanatajwa kina Vuai, kina Hussein Mwinyi, hata karume mdogo anataka kujitosa huko, kuna Makamu wa shein,
Lakin kwa aina ya rais wanayetaka awepo kule (Japo rais wa zanzibar hanaga impact) ila kwa sifa ya Ukali kama Magufuli sijamuona, maana wazanzibari ni wapole na wakarimu sana ,
Je kuna mtanganyika atapewa uzanzibari na kupitia CCM? Maana kisichowezekana kwingineko kwa CCM kinawezekana,
Ninauliza hivi watapewa mwingine kama Mwinyi alivyovikwa uzanzibari kwa muda?
Naishia hapa na uzi wetu huu tutaufufua siku ya uchaguzi zanzibar , akiwa amepitishwa Mtanzibari badala ya Mzanzibari
Wanatajwa kina Vuai, kina Hussein Mwinyi, hata karume mdogo anataka kujitosa huko, kuna Makamu wa shein,
Lakin kwa aina ya rais wanayetaka awepo kule (Japo rais wa zanzibar hanaga impact) ila kwa sifa ya Ukali kama Magufuli sijamuona, maana wazanzibari ni wapole na wakarimu sana ,
Je kuna mtanganyika atapewa uzanzibari na kupitia CCM? Maana kisichowezekana kwingineko kwa CCM kinawezekana,
Ninauliza hivi watapewa mwingine kama Mwinyi alivyovikwa uzanzibari kwa muda?
Naishia hapa na uzi wetu huu tutaufufua siku ya uchaguzi zanzibar , akiwa amepitishwa Mtanzibari badala ya Mzanzibari