MNAJIMU NA MTABIRI WA NYOTA AZITAJA SIFA ZA RAISI AJAYE
Akihojiwa katika kipindi cha Channel Ten, Mnajimu mashuhuri mtoto wa Shekhe Yahaya amesema kwa mujibu wa Sayansi za Nyota na Utabiri wa mambo yajayo, taifa mwaka huu litapata kiongozi mkuu Rais mwenye sifa zifuatazo;
1. Rais atakaye mrith JK ni Mweupe
2. Rais atakayemrith JK ana kichwa cha mviringo kisichokua na kisogo
Sifa nyingine amesema atazisema kwenye kipindi kijacho ila sifa hizi ndio kuu za awali..
Haya wewe unayempenda mgombea mweusi imekula kwako, akiwe mweupe ila ana UCHOGO imekula kwako. Raisi ajaye hana kisogo, ni kichwa cha duara na rangi nyeupe.
Je, katika wagombeam ni nani ana sifa hizo?
Yaani Wa tz bwana mnaakomaaa mpaka mapovu yana watoka kisa MTU katabili hapo Tatzo nn?nae skasema yake jamani.uchaguz Wa ccm mlikuwa mnapishana humu kila MTU mtabikli mbona mnakuwa bongo lala au imewauzi kuambiwa sifa zamtu ambae hammtaki ?acheni unafiki
Yani huyu mchawi ndio wa kutuchagulia rais?
Unafiki anatakiwa aache huyo mnajimu feki.
Ebu muulize huyo ----- sarafu yetu lini itashuka au kupanda thaman.
Mnaoamini katika nguvu za giza mnamatatixo sana.MNAJIMU NA MTABIRI WA NYOTA AZITAJA SIFA ZA RAISI AJAYE
Akihojiwa katika kipindi cha Channel Ten, Mnajimu mashuhuri mtoto wa Shekhe Yahaya amesema kwa mujibu wa Sayansi za Nyota na Utabiri wa mambo yajayo, taifa mwaka huu litapata kiongozi mkuu Rais mwenye sifa zifuatazo;
1. Rais atakaye mrith JK ni Mweupe
2. Rais atakayemrith JK ana kichwa cha mviringo kisichokua na kisogo
Sifa nyingine amesema atazisema kwenye kipindi kijacho ila sifa hizi ndio kuu za awali..
Haya wewe unayempenda mgombea mweusi imekula kwako, akiwe mweupe ila ana UCHOGO imekula kwako. Raisi ajaye hana kisogo, ni kichwa cha duara na rangi nyeupe.
Je, katika wagombeam ni nani ana sifa hizo?
Huyo mtabir tu, anabashiri lakin si Mungu...ana tofauti na wanajiita manabii wa kileo...MNAJIMU NA MTABIRI WA NYOTA AZITAJA SIFA ZA RAISI AJAYE
Akihojiwa katika kipindi cha Channel Ten, Mnajimu mashuhuri mtoto wa Shekhe Yahaya amesema kwa mujibu wa Sayansi za Nyota na Utabiri wa mambo yajayo, taifa mwaka huu litapata kiongozi mkuu Rais mwenye sifa zifuatazo;
1. Rais atakaye mrith JK ni Mweupe
2. Rais atakayemrith JK ana kichwa cha mviringo kisichokua na kisogo
Sifa nyingine amesema atazisema kwenye kipindi kijacho ila sifa hizi ndio kuu za awali..
Haya wewe unayempenda mgombea mweusi imekula kwako, akiwe mweupe ila ana UCHOGO imekula kwako. Raisi ajaye hana kisogo, ni kichwa cha duara na rangi nyeupe.
Je, katika wagombeam ni nani ana sifa hizo?
MNAJIMU NA MTABIRI WA NYOTA AZITAJA SIFA ZA RAISI AJAYE
Akihojiwa katika kipindi cha Channel Ten, Mnajimu mashuhuri mtoto wa Shekhe Yahaya amesema kwa mujibu wa Sayansi za Nyota na Utabiri wa mambo yajayo, taifa mwaka huu litapata kiongozi mkuu Rais mwenye sifa zifuatazo;
1. Rais atakaye mrith JK ni Mweupe
2. Rais atakayemrith JK ana kichwa cha mviringo kisichokua na kisogo
Sifa nyingine amesema atazisema kwenye kipindi kijacho ila sifa hizi ndio kuu za awali..
Haya wewe unayempenda mgombea mweusi imekula kwako, akiwe mweupe ila ana UCHOGO imekula kwako. Raisi ajaye hana kisogo, ni kichwa cha duara na rangi nyeupe.
Je, katika wagombeam ni nani ana sifa hizo?