Malaika Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 901
- 907
MNAJIMU NA MTABIRI WA NYOTA AZITAJA SIFA ZA RAISI AJAYE
Akihojiwa katika kipindi cha Channel Ten, Mnajimu mashuhuri mtoto wa Shekhe Yahaya amesema kwa mujibu wa Sayansi za Nyota na Utabiri wa mambo yajayo, taifa mwaka huu litapata kiongozi mkuu Rais mwenye sifa zifuatazo;
1. Rais atakaye mrith JK ni Mweupe
2. Rais atakayemrith JK ana kichwa cha mviringo kisichokua na kisogo
Sifa nyingine amesema atazisema kwenye kipindi kijacho ila sifa hizi ndio kuu za awali..
Haya wewe unayempenda mgombea mweusi imekula kwako, akiwe mweupe ila ana UCHOGO imekula kwako. Raisi ajaye hana kisogo, ni kichwa cha duara na rangi nyeupe.
Je, katika wagombeam ni nani ana sifa hizo?
Akihojiwa katika kipindi cha Channel Ten, Mnajimu mashuhuri mtoto wa Shekhe Yahaya amesema kwa mujibu wa Sayansi za Nyota na Utabiri wa mambo yajayo, taifa mwaka huu litapata kiongozi mkuu Rais mwenye sifa zifuatazo;
1. Rais atakaye mrith JK ni Mweupe
2. Rais atakayemrith JK ana kichwa cha mviringo kisichokua na kisogo
Sifa nyingine amesema atazisema kwenye kipindi kijacho ila sifa hizi ndio kuu za awali..
Haya wewe unayempenda mgombea mweusi imekula kwako, akiwe mweupe ila ana UCHOGO imekula kwako. Raisi ajaye hana kisogo, ni kichwa cha duara na rangi nyeupe.
Je, katika wagombeam ni nani ana sifa hizo?