MWONA MBALI
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 460
- 610
Nikiangalia kwa aina ya viongozi tulio nao wakati huu, ni uwazi kuwa wengi hawajiamini katika kutekeleza majukumu yao, wamejawa na uoga mwingi tena wasio jiamini.
Na kwa kuwa sasa ni Tanzania ya Kijani sina mashaka kabisa kuwa ni mwana CCM tena atakae kuwa rais wetu ajae. shida inayo nijia kichwani ni juu ya aina ya viongozi tulio nao sasa, wengi ni wakujipendekeza, anayo yazungumza ukimwangalia kabisa sio anayo yaamini, wamejawa hofu hivi. kuna kaugonjwa kwa viongozi wa kisiasa wa kijani kamewakuta, inasemekana hata kualikana kwa mazungumzo wanahofu, hawaziamini hata simu zao,
Kwa ugonjwa huu ulioingia kwa wanasiasa wetu wa KIJANI, TUJIANDAE HUENDA TUKAPATA RAIS MUOGA MWENYE HOFU NYINGI, ANAEWEZA KUBADILIKABADILIKA IKAWA TUMEPATA HASARA.
NATAFAKARI.
Na kwa kuwa sasa ni Tanzania ya Kijani sina mashaka kabisa kuwa ni mwana CCM tena atakae kuwa rais wetu ajae. shida inayo nijia kichwani ni juu ya aina ya viongozi tulio nao sasa, wengi ni wakujipendekeza, anayo yazungumza ukimwangalia kabisa sio anayo yaamini, wamejawa hofu hivi. kuna kaugonjwa kwa viongozi wa kisiasa wa kijani kamewakuta, inasemekana hata kualikana kwa mazungumzo wanahofu, hawaziamini hata simu zao,
Kwa ugonjwa huu ulioingia kwa wanasiasa wetu wa KIJANI, TUJIANDAE HUENDA TUKAPATA RAIS MUOGA MWENYE HOFU NYINGI, ANAEWEZA KUBADILIKABADILIKA IKAWA TUMEPATA HASARA.
NATAFAKARI.