Rais aangalie diploma maalum ya sekondari iliyodahiliwa mwaka 2018

Skillfull man

New Member
Sep 27, 2020
1
1
Tunamwomba Mheshimiwa Rais John Pombe Magufuli. Aangalie diploma maalum ya sekondari iliyodahiliwa mwaka 2018 kwa vyuo kama Songea, Tukuyu,kleru,mpwapwa na korogwe.maana wanapata wakati mgumu kweli wengi wanaacha vyuo kutokana na matamko ya wizara na mifumo walioiweka mgumu kwa wanachuo.
 
Back
Top Bottom