Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
Madini yaliyopo pale ni madini yenye thamani sana na hutumika kama raw materials za kujenga ndege. Ni madini adimu sana na hupatikana Australia tu. Kampuni ya Afrika Kusini ndio yenye leseni pale Songwe. Wamefanikiwa kumshawishi Rais kuhamisha gereza?..................... haya tusubiri tuone!
Mhe. kwanza nikusaidie, maana wengi wanafikiri umesema Aluminium, hata mimi nilifikiri hivyo kumbe siyo,
madini yanayopatikana pale ni Niobium kuna tani kati ya 85-100 million za Niobium, haya ni madini ambayo hayapatikani kirahisi, Hili ni eneo la Panda hill (kaskazini) mwa eneo hili
Jirani (kusini)na madini haya kuna Aluminium, coal, gypsum, marble na mengine mengi.
Kampuni ninayofanya nayo kazi ndiyo iliyofanya EIA maeneo hayo.