Rais aache kuwatesa Mawaziri kutafsiri kauli zake

Alisema watumie busara zaidi, na uongozi si sheria tu. Uongozi ni kutoa maamuzi kwa busara za kiuongozi.
 
Kwani wamelazimishwa? Kama wameshndwa kazi waachane na uwaziri watafte kazi zingine
 
Kwani ukilewa ni lazima uje uchangie huku jukwaani? Ukiamka kesho baada ya pombe kukuisha kichwani, pitia uone ulichoandika mbali ya kwamba hakieleweki lakini uone kama una nukta wala koma. Hii ni baadhi ya sentesi ndefu kabisa duniani kupata kutokea.
Ila utashangaa pamoja na kuandika madudu yote haya huyo aliyetoa agizo akipitia coment yake anampa 'like'.
 
Tatizo mkuu anapenda sana shangwe..

Mawaziri wa awamu hii ni vile tu kuna viapo hawawezi kukiuka hadharani pamoja na kutokuwa tayari kupoteza "ugali" wao,ila wana kazi sana!
 
Ukweli ni kua wanaficha kutokujua sheria kwa huyu malaika...halafu aliwaitaga watu vilaza...
 
Achilia mbali kuropoka, pia ana sifa ya kusema uongo...

344a22d082a392fc0fc2d2dfdaae37fe.jpg
mzee anatupa tabu sisi wapenzi wake kwa uongo??
 
Tulisema Magufuli ni dikteta, watu wakabisha.

Dikteta ni mtu anayekiuka utawala wa sheria na kutaka kuendesha mambo kwa kauli binafsi tu.

Magufuli ni mtu wa aina hii.
Acha ujinga Magufuri ameipa heshima sana Tanzania Na watanzania kwa ujumla.Leo hii nchi zote za Afrika mashariki wanatuogopa kinoma, Sababu Tanzania lilikuwa kama Danguro la walanguzi wa kila sina .
 
Alisema watumie busara zaidi, na uongozi si sheria tu. Uongozi ni kutoa maamuzi kwa busara za kiuongozi.
Aisee, kumbe anajua busara!! Sasa ile michango ya waathirika wa tetemeko huko kwenu mbona busara haikutumika? Au alikuwa bado hajapata busara?
 
Acha ujinga Magufuri ameipa heshima sana Tanzania Na watanzania kwa ujumla.Leo hii nchi zote za Afrika mashariki wanatuogopa kinoma, Sababu Tanzania lilikuwa kama Danguro la walanguzi wa kila sina .
Wewe huyo mtu mwenyewe unayetaka kumsifia hata herufi za jina lake huzijui, umeandika "Magufuri" badala ya Magufuli.

Sasa nitegemee vipikwamba utaweza kuchambua mambo kwa undani wakati herufi za jina tu zinakushinda?

Nikikwambia inawezekana Magufuri ameipa heshima Tanzania, huyo simjui, mimi namuandika Magufuli,si Magufuri,utasemaje?
 
Wewe huyo mtu mwenyewe unayetaka kumsifia hata herufi za jina lake huzijui, umeandika "Magufuri" badala ya Magufuli.

Sasa nitegemee vipikwamba utaweza kuchambua mambo kwa undani wakati herufi za jina tu zinakushinda?

Nikikwambia inawezekana Magufuri ameipa heshima Tanzania, huyo simjui, mimi namuandika Magufuli,si Magufuri,utasemaje?
Ujumbe umemfikia mhusika
 
Jamani wadhani rais hata Ana shida kiasi hicho? Japana sijaona utata hapo kamaanisha hivo kuwa wanaolima karibu Na MTO wsibughudhiwe kama lingine ongea au uliza usitukane matusi ni dhambi vitabu vyote vitukufu vinasema nakilasaa Na dakika wako malaika wanaandika mambo yote unayoongea Na hata kama MTU mkubwa kama Yule akikosea mwambie tu kistaarabu atakuelewa kuliko kujichumia madhambi yakulizimisha ndugu yangu vitabu vimesema kwa ajili ya kujihami Na mdhambi kama huna maneno mazuri yakusema nyamaza nyinyi ndo wale mtafika kwa mungu kwa shauku ya kupata pepo lkn uikute imeenda kwa magufuli yote maana ulimtesa kwa matusi kila aina naye wala hakukurudishia nawe MH magufuli usiwarudishie tusi lolote kwakuwa hawajui watendalo acha wakakutane Na muuba wao hukohuko mheshmiwa.
Huo mda uliotumia kuandika utumbo huu ni Bora ungeeenda chimbo kuvuta bange kama kawaida yako mkuu...

Ni ushauri tu lakini
 
Tulisema Magufuli ni dikteta, watu wakabisha.

Dikteta ni mtu anayekiuka utawala wa sheria na kutaka kuendesha mambo kwa kauli binafsi tu.

Magufuli ni mtu wa aina hii.
Hajakiuka sheria yoyote kwani sheria haimtaki mtubkulima au kufanya shughuli zingine za kibinadamu ndani ya mita 60 ila kwa kibali cha waziri,Rais ni mkubwa kuliko waziri ni sawa katoa kibali kwa niaba ya waziri kwa nchi nzima na tayari waziri husika ameshaanza kuandaa muongozo kwa ajili ya watendaji wengine namna ya kutimiza agizo la rais.
 
Hajakiuka sheria yoyote kwani sheria haimtaki mtubkulima au kufanya shughuli zingine za kibinadamu ndani ya mita 60 ila kwa kibali cha waziri,Rais ni mkubwa kuliko waziri ni sawa katoa kibali kwa niaba ya waziri kwa nchi nzima na tayari waziri husika ameshaanza kuandaa muongozo kwa ajili ya watendaji wengine namna ya kutimiza agizo la rais.
Magufuli hajawahi kukiuka utawala wa sheria?
 
Back
Top Bottom