Rainbow cake

farkhina

Platinum Member
Mar 14, 2012
14,568
16,902
Mahitaji

1)Unga 12 tablespoon..
2)mayai 6
3)siagi 1/4 kg (punguza kidogo ili keki isiwe na mafuta mengi).
4)sukari 1/4 kg..
5)rangi (food cloring) upendazo..
6)baking powder 1 teaspoon...
7)vanilla powder au flavor upendayo..

Namna ya kutaarisha

1)weka kwenye bakuli sukari na siagi....saga kwa handmixer hadi vilainike.

2)add mayai...changanya vizuri

3)katika bakuli lengine changanya unga na baking powder..

4)weka unga kidogo kidogo kwenye mchanganyiko wa sukari na siagi na changanya vizuri hadi umalizike..

5)weka flavor upendayo katika mchanganyiko wako....

6)gawanya mchanganyiko wako kutokana na idadi ya rangi ulizochagua mfano (pink,yellow,green,purple n.k)


7 ) mimina kwenye trey rangi moja badala ya nyengine kama ufanyavo kwenye zebra cake...


8)weka kwenye oven 300°-350 hadi keki iwive vizuri....

Keki tayari kuliwa..
 

Attachments

  • 1387113463952.jpg
    1387113463952.jpg
    95.7 KB · Views: 711
  • 1387113481434.jpg
    1387113481434.jpg
    27.8 KB · Views: 678
  • 1387113494539.jpg
    1387113494539.jpg
    78.9 KB · Views: 676
wow keki nimeipenda.mimi nikipika huwa rangi zangu ni 2 tu,either kati nitaweka rangi ya chocklate,au nyekundu.i will definetly try this.recipe zako unazoweka mpaka picha huwa inapendeza,na mara nyingi picha zake huwa zinavutia
 
wow keki nimeipenda.mimi nikipika huwa rangi zangu ni 2 tu,either kati nitaweka rangi ya chocklate,au nyekundu.i will definetly try this.recipe zako unazoweka mpaka picha huwa inapendeza,na mara nyingi picha zake huwa zinavutia

Santeeee...
 
mahitaji

1)unga 12 tablespoon..
2)mayai 6
3)siagi 1/4 kg (punguza kidogo ili keki isiwe na mafuta mengi).
4)sukari 1/4 kg..
5)rangi (food cloring) upendazo..
6)baking powder 1 teaspoon...
7)vanilla powder au flavor upendayo..

Namna ya kutaarisha

1)weka kwenye bakuli sukari na siagi....saga kwa handmixer hadi vilainike.

2)add mayai...changanya vizuri

3)katika bakuli lengine changanya unga na baking powder..

4)weka unga kidogo kidogo kwenye mchanganyiko wa sukari na siagi na changanya vizuri hadi umalizike..

5)weka flavor upendayo katika mchanganyiko wako....

6)gawanya mchanganyiko wako kutokana na idadi ya rangi ulizochagua mfano (pink,yellow,green,purple n.k)


7 ) mimina kwenye trey rangi moja badala ya nyengine kama ufanyavo kwenye zebra cake...


8)weka kwenye oven 300°-350 hadi keki iwive vizuri....

Keki tayari kuliwa..

wowwww....very colorful!!!!!!

Natamani kufika toronto dkk hii
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom