comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Kiongozi wa muungano wa vyama vya upinzani nchini Kenya yaani NASA Mh Raila Odinga ameitisha maandamano nchi nzima wakati wa siku ya marudio ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika tarehe 26.11.2017
Aidha, Mh Raila Odinga amesema wanafanya hivyo kwa kuwa hawana imani na tume ya uchaguzi nchini humo hali hiyo pia imepelekea mmoja wa makamishna wa tume hiyo kuacha kazi na kukimbilia nchini Marekani
Aidha, Mh Raila Odinga amesema wanafanya hivyo kwa kuwa hawana imani na tume ya uchaguzi nchini humo hali hiyo pia imepelekea mmoja wa makamishna wa tume hiyo kuacha kazi na kukimbilia nchini Marekani