Ras Cutty
Member
- Nov 12, 2010
- 42
- 10
Mhe waziri Mkuu wa \kenya RAILA ODINGA Jana ametupasha na kutufungua macho watanzania woooteee wakati akiwa Mwanza. Najua wana JF woote wenye nia njema na Tanzania ya leo tutakuwa tunaungana na hoja yake kwamba "SUALA LA KATIBA MPYA NI SHAURI YETU WENYEWE". Hapo ametuelekeza vizuri sana akiwa kama mwanamapinduzi wa Kenya MPYA. Sisi wana JF tujithidi kusambaza ujumbe huu kwa wananchi wenye woga ili waelewe kuwa hata jirani zetu Kenya wanatutakia kheri ili tuweze kwenda mbele. Maana kizazi cha leo hakiwezi kuishi kwa mfumo wa zamani (katiba) Lets wake uuuuuppppp???????