Kenya 2022 Raila Odinga atoa wimbo wakati kampeni za uchaguzi zikishika kasi

Kenya 2022 General Election

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Dec 11, 2012
5,897
10,358
Magombea Urais nchini Kenya, Raila Odinga ametoa video ya wimbo alioshirikishwa, wakati kampeni za uchaguzi nchini humo zikishika kasi.


Odinga ambaye ndiye mpinzani mkuu kwenye uchaguzi huo ametoa video hiyo ya wimbo unaokwenda kwa jina la Leo ni Leo (Remix).

 
Back
Top Bottom