Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Ngumu sana,Lunguya ,Bugarama,Busindi ,Masabi na Ntobo na vijiji vyote ni Ccm. Hapa dawa ni kuliondoa hili liligumya.Inatakiwa tuifute ccm kwenye hii kanda
Ngumu sana,Lunguya ,Bugarama,Busindi ,Masabi na Ntobo na vijiji vyote ni Ccm. Hapa dawa ni kuliondoa hili liligumya.Inatakiwa tuifute ccm kwenye hii kanda
Duh! Hali ni mbaya kumbe?Rais Magufuli akae mbali na wahuni wa Kenya
Nchi yao ni failed state
Ukiweka itikadi yako ya kisiasa pembeni na kutafakari kwa kina. Unafikiri maamuzi haya yaliyofanywa na hao viongozi ni kwasababu ya corona tu? Au kuna lingine nyuma ya pazia.Acha mambo yasiyo maana, fikiria Kenya kufunga mpaka na Rwanda kufungua bandari kavu Kenya hivyo mizigo kupitia Mombasa. Nyie endeleeni na mapambio tuu
Rwanda secures dry port in Kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Eti ulishasema huko nyuma... kwani wewe ni Nani? Kama una maono ya kipumbavu nani akae akusikilize.usilinganishe misimamo ya Tanzania ya akili kubwa ya Mwalimu JKN na awamu nyingine zote zilizofuata (hususani hii awamu ya 5 ambayo literally ni shambolic to say the least).
sidhani kama awamu hii inajua nchi hii inachokihitaji na namna ya kukipata.
nilishasema huko nyuma na ninarudia tena... Tanzania inazihitaji zaidi nchi jirani yake kuliko kinyume chake.
Zahabu zimesombwa libalabala bado la vumbi CCM inanyonya huku watu wamelalaNgumu sana,Lunguya ,Bugarama,Busindi ,Masabi na Ntobo na vijiji vyote ni Ccm. Hapa dawa ni kuliondoa hili liligumya.
Too early to make such conclusions.Huyo ondinga nayeye si_mstahafu. ..itakuwa anawashwa washwa tu. sio bure ..yeye mambo ya tz yana muhusu nini. ..
mpaka dakika hii wote kwa pamoja tunashuhudia kuwa maamuzi ya magufuli kutoiweka nchi katika kizuizi yapo sahihi kabisa kwa wenye akili wameliona hilo...
ndio maana hata huko USA na baadhi ya nchi za ulaya wameshaanza kufikirikia kiachana na lockdown.... hizi nchi za Africa zimekuwa ni bendera fuata upepo wanafuata kila wanacho ambiwa na mabwana pasipo kujali kwamba hayo wanayo yafanya yatakuwa na maslahi kwa wananchi wao ama la. ..... hizo nchi binafsi nazifananisha na mwanamke malaya zingekuwa nchi zao ni jinsia KE Sasa hivi zingeshakuwa na mimba..... period
Hata wale ambao hawakua na mtazamo kama wetu au wa Brazil nadhani umeona kwamba wamefikwa na makubwa zaidi kuliko hata sisi na hao wabrazil mwenyeweToo early to make such conclusions.
Brazil nao walikuwa na misimamo kama wetu lakini leo mortuary zimejaa mpaka maiti zinawekwa kwenye macorridor.
But against all odds he might be right....!!
naweza kuwa mpumbavu kweli, lakini sijafikikia upumbavu wa kiwango cha MATAGA na awamu hii ya 5!Eti ulishasema huko nyuma... kwani wewe ni Nani? Kama una maono ya kipumbavu nani akae akusikilize.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Kenya kuna nini pale? Naona Mama kaenda kurudi na mibarakoa kibao wakati Magu hakupokea ata simu ya rafiki yake OdingaRAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?
Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona. Anavyodai sijui hajampata kwenye Simu.....
Kitu ambacho Raila anatakiwa kukifahamu ni kwamba Kuna Magufuli wawili, Mmoja ni Rafiki yake ambaye wanaweza kujadiliana naye chochote kwa wakati wowote, Magufuli wa Pili ni Rais wa Tanzania, huyu si mtu bali ni taasisi yenye kila aina ya wataalamu na washauri.
Issue ya Corona si issue anayeishughulikia Magufuli ambaye ni Rafiki yake Raila Bali ni Magufuli ambaye ni Taasisi. Raila anatakiwa atofautishe haya mawili kwanza, aliyepaswa kumpigia Simu Magufuli ambaye ni Taasisi ni Uhuru Kenyata Hawa wapo level Moja.
Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.
Tanzania imekuwa nchi yenye misimamo yake toka Zamani, tumejirisk kwa mengi hata la kutafutia wengine Uhuru tulijirisk sanaa... Tanzania yenyewe imesema mabeberu yasitukopeshe badala yake watusamehe madeni, Kenya wao wameshaenda kukopa. Hii ni misimamo miwili tofauti....
Tusimame pamoja, Hakuna mtu njee ya Tanzania anayeweza kuipenda Tanzania kuliko sisi wenyewe. Pamoja na Mambo Mengine watanzania tujiamini, sisi sio Goi Goi wa kiwango hicho.
Ukishakuwa Rais hata marafiki zako uliokuwa nao mwanzo huwezi kuongea nao hovyo hovyo, kila kitu kinafanyiwa monitoring, hata hiyo simu aliyopiga Raila inawezekana sio hiyo aliyonayo Sasa. Tumerahisisha mno taasisi ya Urais .... Si rahisi Kama tunavyofikiria.
Ukiongeza uchumi wa rwanda, uganda, tz na burundi pamoja hautoshei wa kenya. Kuna wawekezaji 500 kutoka kenya wanaoleta usd1.5B. Mchezo usiuchezee mjukuu wanguHivi Kenya kuna nini pale? Naona Mama kaenda kurudi na mibarakoa kibao wakati Magu hakupokea ata simu ya rafiki yake Odinga
Rais Magufuli akae mbali na wahuni wa Kenya
Nchi yao ni failed state
Pamoja na kujificha kote ikamdedisha
Pamoja na kujificha kote ikamdedisha
Naona urafiki uliishia hapo maana hata kwenye shughuli ya kumuaga pale Dodoma na Chato Raila hakuonekanaRAILA KAMSHAURI MAGUFULI YUPI?
Raila Odinga anadai amempigia Rais wetu Simu kumshauri kuhusu Corona. Anavyodai sijui hajampata kwenye Simu.....
Kitu ambacho Raila anatakiwa kukifahamu ni kwamba Kuna Magufuli wawili, Mmoja ni Rafiki yake ambaye wanaweza kujadiliana naye chochote kwa wakati wowote, Magufuli wa Pili ni Rais wa Tanzania, huyu si mtu bali ni taasisi yenye kila aina ya wataalamu na washauri.
Issue ya Corona si issue anayeishughulikia Magufuli ambaye ni Rafiki yake Raila Bali ni Magufuli ambaye ni Taasisi. Raila anatakiwa atofautishe haya mawili kwanza, aliyepaswa kumpigia Simu Magufuli ambaye ni Taasisi ni Uhuru Kenyata Hawa wapo level Moja.
Kitendo Cha Raila kuvuka mipaka na kuja kushauri Tanzania ni kutuaona kuwa sisi vyombo vyetu haviwezi kutusimamia Wala hatuwezi kujisimamia.
Tanzania imekuwa nchi yenye misimamo yake toka Zamani, tumejirisk kwa mengi hata la kutafutia wengine Uhuru tulijirisk sanaa... Tanzania yenyewe imesema mabeberu yasitukopeshe badala yake watusamehe madeni, Kenya wao wameshaenda kukopa. Hii ni misimamo miwili tofauti....
Tusimame pamoja, Hakuna mtu njee ya Tanzania anayeweza kuipenda Tanzania kuliko sisi wenyewe. Pamoja na Mambo Mengine watanzania tujiamini, sisi sio Goi Goi wa kiwango hicho.
Ukishakuwa Rais hata marafiki zako uliokuwa nao mwanzo huwezi kuongea nao hovyo hovyo, kila kitu kinafanyiwa monitoring, hata hiyo simu aliyopiga Raila inawezekana sio hiyo aliyonayo Sasa. Tumerahisisha mno taasisi ya Urais .... Si rahisi Kama tunavyofikiria.
Uchumi wa kwenye makaratasi uo..!! Kwa watu wenu aoao wakija Tanzania wanaona bora Tanzania maisha rahisi kuliko Kenya.Ukiongeza uchumi wa rwanda, uganda, tz na burundi pamoja hautoshei wa kenya. Kuna wawekezaji 500 kutoka kenya wanaoleta usd1.5B. Mchezo usiuchezee mjukuu wangu