Nobunaga
JF-Expert Member
- Mar 22, 2019
- 1,169
- 4,985
Raila Odinga kwa sasa ndiye anasubiriwa kwenye ukumbi wa IEBC yatakapotangazwa matokeo ya mshindi wa Urais kwenye uchaguzi wa mwaka huu.
Ikiwa Mgombea wa Kenya Kwanza Coalition, Willium Ruto ameshawasili zaidi ya saa moja iliyopita, hali ni tofauti kwa mpinzani wake mkuu Raila Odinga ambaye wakala wake mkuu ameongea na vyombo vya habari kwamba Raila Odinga hatafika ukumbini hapo mpaka pale watakaporuhusiwa kuyaona matokeo na kujiridhisha kama yapo sawa ama laah.
Ikiwa Mgombea wa Kenya Kwanza Coalition, Willium Ruto ameshawasili zaidi ya saa moja iliyopita, hali ni tofauti kwa mpinzani wake mkuu Raila Odinga ambaye wakala wake mkuu ameongea na vyombo vya habari kwamba Raila Odinga hatafika ukumbini hapo mpaka pale watakaporuhusiwa kuyaona matokeo na kujiridhisha kama yapo sawa ama laah.