Jambazi lazima aendelee kubaki midomoni maana Tanzania tulipatwa hatukuwahi kuwa na muuaji Kama yule tangu tupate uhuruMagufuli amekwenda lakini anavyotajwa unaweza hisi bado yupo hai,tena hai akiwa bado yupo madarakani mpaka sas
Jambazi aliwanyoosha kwakweli mpaka mkilala mnaweweseka na mtu alishajifia hamtamsahau milele.Jambazi lazima aendelee kubaki midomoni maana Tanzania tulipatwa hatukuwahi kuwa na muuaji Kama yule tangu tupate uhuru
Hizo tuhuma zote dhidi ya JPM Zina ushahidi wowote?! Au ni porojo tu za Chadema.Kwahyo hata mambo ya kumpiga Tundu Lissu risasi, na kupotea kwa akina ben Saanane na yale ya kupotea kwa 1.5tr yooote kamfundisha yeye baasi wakenya wana bahati ya kuwa na mtu kama yeye
Kwa hiyo point yako ni nini haswa, kwamba wanyonge wasipate mtetezi, wawe ni watu wa kuteseka tu Kama wamachinga na mama lishe ktk awamu hii?!Alipendwa sana na walio wanyonge ambao ni wengi. Ila ukitaka kujua ubaya wa wanyonge wape nchi au nchi iendeshwe kwa matakwa yao. Baada ya miaka 10 inageuka jangwa, nchi ya umasikini wa kutupwa halafu wanyonge waliokuwa wanakushangilia wanakulaani.
Huamini? Wape wanyonge waitunze ngorongoro na serengeti halafu subiri baada ya miaka kadhaa kama utawaona wanyama na watalii.
Wape maeneo ya makazi yaliyopangwa vizuri yenye miti halafu subiri baada ya muda.
Wafanye matajiri wawe mashetani halafu wakishakuwa mashetani wape kazi wnyonge wajichange kodi ipatikane.
Mifano ni mingi kama huamini.
MWANASIASA ANATAFUTA KURA ZA WANYONGE, UKIPENDWA NA WANYONGE UNA TIKETI YA UONGOZI ILA SASA......
Kwani alijenga Airport au kuanzisha hizo mbuga kwa ajili ya familia yake?!Inamaana ndiye aliyeshauri ujenzi wa Chato International Airport na Rusumo Wild Life pia uhamisho bila visa wa wanyama kutoka Serengeti na Ngorongoro!
Kwani kutunyoosha kwa kutumiga marisadi ndo ujanja? Si unaona tulimlilia mungu nayeakatuitikiaJambazi aliwanyoosha kwakweli mpaka mkilala mnaweweseka na mtu alishajifia hamtamsahau milele.
Point yangu ni kuwa wakikupa uhalali wa kuwa kiongozi ishi nao kwa akili kuliko unavyoishi na mkeo.Kwa hiyo point yako ni nini haswa, kwamba wanyonge wasipate mtetezi, wawe ni watu wa kuteseka tu Kama wamachinga na mama lishe ktk awamu hii?!
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Sio anadai ndio ukweliMgombea urais wa Kenya anayeungwa mkono na wananchi wengi nchini humo mh Raila Odinga amesema yeye alikuwa ni Mshauri wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Magufuli.
Raila amesema Magufuli aliweza kumpigia simu hata saa 12 asubuhi ili apate ushauri wake na kwamba alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi.
Source: Kenyans. co.ke
My take; Hata hapa nyumbani 2025 Magufuli atakuwa lulu.
Uishi nao kwa akili vipi?! yaani ukubali kuona wananyanyasika na kunyonywa huku ukiwapa matumaini hewa?Point yangu ni kuwa wakikupa uhalali wa kuwa kiongozi ishi nao kwa akili kuliko unavyoishi na mkeo.
Raila akiendelea kujinasibisha na magufuli ataukosa uraisi, wakenya wengi wanamwona magufuli ni hayawanniMgombea urais wa Kenya anayeungwa mkono na wananchi wengi nchini humo mh Raila Odinga amesema yeye alikuwa ni Mshauri wa aliyekuwa Rais wa Tanzania hayati Magufuli.
Raila amesema Magufuli aliweza kumpigia simu hata saa 12 asubuhi ili apate ushauri wake na kwamba alimshauri hata namna ya kupata fedha kwa ajili ya maendeleo ya nchi.
Source: Kenyans. co.ke
My take; Hata hapa nyumbani 2025 Magufuli atakuwa lulu.
sasa alizikopa wapi wakati mnasema hakua na mahusiano mazuri na wakopeshaji.Nimeona hii habari mahala Odinga anajinasibu kuwa mastermind wa Magufuli, labda ndio kwasababu ya ule ukaribu wao.
Huo ushauri wa kupata pesa kwa ajili ya maendeleo ya nchi ni upi? kama ni kukopa bora asingemshauri, au kupora matajiri pesa zao? napo bora asingemshauri.
Naona Raila anamtumia Magufuli kama kete yake ya kugombea urais, najua wakenya walikuwa wanamkubali Magufuli kwasababu ya uzalendo wake na kuwachukia wezi.
Ila sijajua walikuwa wanamfuatilia kwa kiasi gani zaidi ya kumsoma/kumsikia juu juu kwenye vyombo vya habari.
Utaufahamu baada ya muda kwa sasa tuendeleeHivi huo uzalendo wa magufuli ni upi haswaaa?
Darasa la Saba kwenye ubora wako. Umekaririshwa mwenyewe, sasa hivi unaropoka tu.Kwahyo hata mambo ya kumpiga Tundu Lissu risasi, na kupotea kwa akina ben Saanane na yale ya kupotea kwa 1.5tr yooote kamfundisha yeye baasi wakenya wana bahati ya kuwa na mtu kama yeye
Unakazana sana na mnyonge kunyanyasika, tafsiri ya kunyanyasika kwa mnyonge isiyomhusu tajiri kama raia ni ipi? Matumaini hewa kwa mnyonge yasiyomgusa tajiri ni yapi?Uishi nao kwa akili vipi?! yaani ukubali kuona wananyanyasika na kunyonywa huku ukiwapa matumaini hewa?
Sent from my itel W6004 using JamiiForums mobile app
Hakika mwendo ameumaliza.Kwani kutunyoosha kwa kutumiga marisadi ndo ujanja? Si unaona tulimlilia mungu nayeakatuitikia